Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

Siajawahi kuona nyimbo mbovu kama hii..kwanza kiba kaonekana mparakujenda..hajui kuvaa..mshamba..limbukeni..iga mfano wa jirani yako baba tee
Kuvaa nguo za kubana matako?.. Na kujipodoa mhhhh?...no product ya kariakoo ile siyo tandale Mzee.
 
kumbe ww nae mwehu sasa alishikiwa bunduki aingize mistari kwenye beat mbovu? au ndio ushamba wa kushirikishwa na kupanic jiamin kama beat mbovu unasema sio unakwenda kama upepo wakat ni msanii wa miaka nenda rudi
Beat mbovu kwako Mzee... Asa unataka unachopenda ww ndo Lilongwe na wote Mzee?.. Unajua beat nzur kuliko saut Sol?... Unajua beat nzur kuliko Ali kiba?... Ukikosa cha kukosoa bora hata ukaushe bas,siyo unatoa kasoro ambayo haina hata mashiko ili mradi na ww ukosoe tu hahahahaaaa ugonjwa huo unaitwa KIBA FEVER
 
Me hawa timu CHAI JABA (DOMO) ndo maana nawanyooshaga tu hawajielewiiii yaaani hata wakimkuta kiba anapiga mswaki watkuja hapa Kiba hapigi mswaki vizur hahahaaaa kaugonjwa ka KIBA FEVER kanawasumbua wanakuwa kama wamelishwa Unga wa Ndele..
 
Me hawa timu CHAI JABA (DOMO) ndo maana nawanyooshaga tu hawajielewiiii yaaani hata wakimkuta kiba anapiga mswaki watkuja hapa Kiba hapigi mswaki vizur hahahaaaa kaugonjwa ka KIBA FEVER kanawasumbua wanakuwa kama wamelishwa Unga wa Ndele..
komaa nao
 
Balozi wa Wanyama katisha kwenye hii video ya dancing! Ametisha kinoma noma.
Baada ya kumtukana saana hatimaye kibakuli kajaribu at least...

But Hiyo yapili waliyoiga kutoka kwa Soory ya Justine Berber mbona na beat ni tofaut..
 
kiba wamchangani tu kama simba ataishia humu ndege apandi kimchangan channgan video nzur sema beat mbovu
Ahaaaa Haaaa...

Kajitahidi mno...!!! Kibakuli....anastahili pongezi hii kidogo nzuri kuliko ile ya mapera plus wale jokeri
 
Kwa hiyo unataka kusema bila Diamond inakuwaje kwa wasanii wengine?
 
Ahaaaa Haaaa...

Kajitahidi mno...!!! Kibakuli....anastahili pongezi hii kidogo nzuri kuliko ile ya mapera plus wale jokeri
Ndugu yangu sumbai bado hujaacha majungu tu acha hizo
 
Nice song kiba killed japo kwny kucheza hakuwa mchagamfu kwny step alikuwa km anawasikilizia wenzake ila haijaondoa ubora wa nyimbo asa pale i believeeeee inavyopandishwa km hataki ivi good music
 
labda ile ya usinisemee usinisemee kama napenda kulaaaa ..alinigusa kwenye kitambi changuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom