Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

Wasanii wa Tanzania wakienda kufanya collabo na wa-Kenya huwa wanatuharibia ubora wa wasanii angalia Diamond, Kiba , Vanessa n.k collabo zao na wa-Kenya kiwango local sana hakiwezi kuwa international .

Hii ina ashiria kuwa ma-producer, directors ktk music industry ya Kenya na wasanii wa Kenya wanaviwango vidogo sana na hawashauriki wanadhani wao ni bora sana na kutaka ku-dominate kitu wasichoweza.
 
Ngoma kali sana sema katuimbia WENYE HUSDA, ROHO MBAYA, WIVU na CHUKI basi tupo busy kuponda
 
Wasanii wa Tanzania wakienda kufanya collabo na wa-Kenya huwa wanatuharibia ubora wa wasanii angalia Diamond, Kiba , Vanessa n.k collabo zao na wa-Kenya kiwango local sana hakiwezi kuwa international .

Hii ina ashiria kuwa ma-producer, directors ktk music industry ya Kenya na wasanii wa Kenya wanaviwango vidogo sana na hawashauriki wanadhani wao ni bora sana na kutaka ku-dominate kitu wasichoweza.
Mantiki yako nn Mzee?...hitimisho lako ni nn kwamba hii ngoma mbayaa au vipi maana umeishia hewani
 
hii ndio tofauti ya mwanamuziki Hodari na Mwanamuziki Machachari
 
La
La la la la
La la la la la la la la la
La la la la la
La la la la la la la la la
La la la la
La la la la la la la la la
La la la la la
La la la la la la la la la

We all need love
We all need affection
And the way that you looking at me
I can feel a connection
Unanibamba baby kwanza unavyochekecha
Kinywaji kwa mukono
Na kibeti kwa bega

Ju siku hizi mademu wanapenda doo
Na machali pi tunazo drama
Ya dunia ni mengi sana
No comittment mama
So nipe nafasi
Nikupe mapenzi yangu ya Kiluhya
Haleluya

We all need love
Nakupenda
Tena nina imani sana
Ushanitega
Ushanitega
We all need someone
Nakupenda
Tena nina imani sana
Ushanitega
Ushanitega

So make love to me
Unconditionally bae
Unconditionally bae
So make love to me
Unconditionally bae
Unconditionally bae

We all need love
Me all need wife
Wa kuishi nayeye
Ukifuata vijana utakufa mapema magonjwa yamejaa
Jina langu Ali so lazima nile
Nikikosa kula chakula ni wewe
Ntakonda mazima
And I believe
Nitakuwa na wewe
Mwanzo mpaka mwisho
And I believe (baby)
(Yoo)

We all need love
Nakupenda
Tena nina imani sana
Ushanitega
Ushanitega
We all need someone
Nakupenda
Tena nina imani sana
Ushanitega
Ushanitega

So make love to me
Unconditionally bae
Unconditionally bae
So make love to me
Unconditionally bae
Unconditionally bae

We all need love
Nakupenda
Tena nina imani sana
Ushanitega
Ushanitega
We all need someone
Nakupenda
Tena nina imani sana
Ushanitega
Ushanitega

So make love to me
Unconditionally bae
Unconditionally bae
So make love to me
Unconditionally bae
Unconditionally bae

Ali
Sauti Sol
East Afrika
Tanzania Kenya
Kigali
Bunjumbura
Kampala
Kinshasa

Ey yo
Dar es salaam Dar es Salaam
This is Ali Kiba
Sauti Sol
Ok nani yuko tayari
Na hii ni kutoka
Nairobee
Yoo
 
Ahlan Wasahlan brothers and sisters!

Acheni tuwe wakweli, binafsi nimeanza kumfuatilia Huyu Msanii Muda mrefu lakini zaidi sana Na Kwa undani Ni kuanzia 2007 mpaka Leo.

Kwa kifupi Ni Msanii mzuri mwenye uwezo wa kucheza vizuri Na sauti Yake, sijui Kama hua anatunga mwenyewe Au anatungiwa hizo nyimbo zake Ila Kwa kiasi kikubwa anajitahidi.

Ila Sasa kuna huu wimbo wa kuitwa Unconditionally bae, Alikiba ameshirikishwa, Kwa jinsi ninamvyomjua Na uwezo wake katika huu wimbo hajafanya kazi yeyote, Yaani kaimba vibaya!

Imagine anasema "jina langu Ali Sasa lazima Nile" Sasa hii maana Yake Nini? Alikosa Kabisa cha kuandika hapo? Au Ndio mambo ya mizani? Huo wimbo Ni mzuri sana Anzia vionjo vyake Ktk beat mpaka mpangilio wa sauti za hao wenye wimbo wao lakini Huyu Msanii wetu kapooza sana katika nafasi Yake ingawa upande wa video kafanya vizuri.

Hivyo Kwa maoni yangu Ni kwamba Alikiba KAHARIBU wimbo wa watu, Hebu piga picha ule wimbo wangeimba wenyewe tu Sauti Sol, ungependeza sana!

Ushauri wangu; Next time Alikiba akipata nafasi ajitahidi kuimba serious Na mistari yenye mashiko, unapoleta utani Ktk issue serious haujiangushi wewe tu, unatuangusha mpaka sisi Watanzania wenzio.

NB: Hayo Ni maoni yangu Mimi binafsi Mgibeon, sina team yeyeto ya kushabikia hapa bongo zaidi ya Young Africans Sports Club! Kila mtu anasikio lake la kusikilizia uzuri Na ubaya wa wimbo, hivyo hala hala Na matusi jamani, tafadhari sana!
 
Mi sijaelewa mpaka sasa Sautisol walimuweka Kiba pale wa nini!!!?? Sijaelewaga bado. jamaa wamekamilika kila idara..

sijui ni influence ya matimu mbuzi haya....wakifikiri ndo watakamata soko TZ.... wakati walishakubalika huku mudaa. Walikosea sana kwakweli.
 
Mi sijaelewa mpaka sasa Sautisol walimuweka Kiba pale wa nini!!!?? Sijaelewaga bado. jamaa wamekamilika kila idara..

sijui ni influence ya matimu mbuzi haya....wakifikiri ndo watakamata soko TZ.... wakati walishakubalika huku mudaa. Walikosea sana kwakweli.
Ni Kweli, wale Jamaa wamekubalika Huku kwetu Miaka mingi sana Nyuma! Huenda ule wimbo walishauimba wenyewe siku nyingi, Sasa ndugu yetu alipowacheck ili kwamba wasimuangushe wakaamua kumuingiza mule!
 
Ulisikia na hii "And I belieeeveeee....." hahaha Kiba hatare mno
Sasa Ndio Nini hicho Mkuu? Huo Ndio ule utani niliosema mwanzoni, issue serious analeta maskhara! Fikiria jinsi alivyo ghani katika nyimbo Kama Njiwa, mapenzi yanarun Dunia, Mackmuga Na hata ule waliimba Na kina R.kelly linganisha Na huu utaona!
 
tunga wako mwanangu tuone sio kama wale jamaa zangu wa kibanda umiza wanaokosoa wachezaji wakati wao hata mpira hawajui
 
tunga wako mwanangu tuone sio kama wale jamaa zangu wa kibanda umiza wanaokosoa wachezaji wakati wao hata mpira hawajui
Me ni shabiki tu wa Mziki, Na Jamaa wanatuimbia sisi Yaani Kwa lugha nyingine sisi Ndio ma boss wao hivyo tuna uhuru wa kucomment maoni yetu! Na nilishasema hayo Ni maoni yangu Kwa mujibu wa sikio langu Na wewe una Lako Na unanafasi ya kuanzisha uzi wako!
 
Mi sijaelewa mpaka sasa Sautisol walimuweka Kiba pale wa nini!!!?? Sijaelewaga bado. jamaa wamekamilika kila idara..

sijui ni influence ya matimu mbuzi haya....wakifikiri ndo watakamata soko TZ.... wakati walishakubalika huku mudaa. Walikosea sana kwakweli.
...ili wapate soko tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom