Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 348
- Thread starter
- #61
Ngoja Nikwambie, Siku Hizi Majini Pamoja Na Masheta Nayo Yamecopy Mfumo Wa Digitali ,..Yaani nao Wametoka Analogia Wamekwenda Digitali, Sasa Huyo Anayekuita Ni Jini Aina Ya PoPoBawa , Cku Hizi PopoBawa Wanakuja Na Sauti Nyororo, Ukiona Ivyo Anataka Achezee Choo Chako Na Unaambiwa Bao Lake Moja Ni Sawa Na Lita Moja Ya Maziwa Ya MtiNdi...Jirani Nakupenda Ndio Maana Nimekwmbia Ili Nikuepushe, Alafu Angalia Sana Pindi Unapoaamka Maeneo Ya Ikweta Kama yapo Salama Vingnevyo Utapotea Na hizo Sauti....www.dr.manyaunyau.com
Kikikiki huyo Popobawa hana nafasi kwangu katika Jina la Yesu!