Sauti ya "kike" inanisumbua usingizini


ukisikia sauti hiyo vp huwa unasisimuka?
 
wiyelele,mbwa hujipeleka mwenyeewe mdomoni mwa chatu,nasikia eti chatu hutengeza harufu nzuri ya nyama ambayo mbwa akiisikia huwa anaifuata mpaka anajikuta yu kinywani mwa chatu,hivyo hivyo kwako,hiyo sauti ya kike ni zuga,huyo ni popobawa anataka kukukigamboni!!!!!
 
tetere my dear! this is Wiyelele we are talking with!
Kwa tunaomfahamu tunajua tatizo hapa ni nini!
NA YEYE MWENYEWE ANALIJUA!hajaamua tu kutii kiu ya kile anachokiamini!
 
Last edited by a moderator:
kijana kimbia fasta, satan or call it jini mahaba whatever name you give bado ndugu yangu uko pabaya maana umekamatwa na 'shetwani'

sali mkuu, unahitaji maombezi ili ufunguliwe.....
 
chukua hatua ya kubreak hiyo relationship na jini mahaba before it is worse, if you don't, you will soon be subscribed to their family
 
Mkuu Wiyelele mbona unajichanganya? Kwenye kichwa cha habari umeandika kuwa sauti inakusumbua lakini kwenye kiini umeonesha unasikia raha na unapata amani ukiisikia! Sasa sijui unasimamia wapi!

Kama kiini kinge fanana na heading yako mimi ninge kuuliza kama una sali au kuswali kabla ya kulala!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilijua tu, kumtoa kasoro na kumchukia mkeo kiasi kile ni dalili ya kuwa na spiritual husaband; sasa fuatilia business au kazi zako; uwezekano mkubwa zinayumba, hopefully hautasema mkeo ana gundu.
 
tetere my dear! this is Wiyelele we are talking with!
Kwa tunaomfahamu tunajua tatizo hapa ni nini!
NA YEYE MWENYEWE ANALIJUA!hajaamua tu kutii kiu ya kile anachokiamini!

Nimefurahia sana ushauri wa tetere, lakini yawezekana snowhite una yale ya mwaka jana. Ina maana kama mtu unamfaham kwamba ni mlevi akija kukuomba ushauli jinsi ya kuacha huo ulevi huwezi kumshauri?
 

Ni kweli, kama kitu kinajirudia rudia na hukielewi kinaanza kukusumbua japo kinaweza kuwa kinavutia.
 
Mimi nilijua tu, kumtoa kasoro na kumchukia mkeo kiasi kile ni dalili ya kuwa na spiritual husaband; sasa fuatilia business au kazi zako; uwezekano mkubwa zinayumba, hopefully hautasema mkeo ana gundu.

Hapana mambo ya business na kazi yako shwari tu. Simchukii mtu, bali nachukia tabia mbaya.
 
nikwambie!
hakuna cha jini mahaba wala nini! umemchukia sana mkeo kiasi cha kuamini kuna mwanamke mwingine mzuri anayekufaa umemtengeneza kichwani kwako na hiyo ni akili yako tu inarudisha kile unachowaza mchana kutwa!

Mimi nahitaji msaada ili hata kama unayoyasema ni ya kweli niweze kuaachana nayo ni focus kwa mke wangu tu. Jamani msinihukum kwa yale ya mwaka jana, mbona hata vitabu vinasema "tazama, yakele yamepita na sasa nimekuwa kiumbe kipya".
 

Tetere, nakushukuru sana kwa ushauri wako na kweli nimefarijika mno. Naamini maombi ni njia pekee ya kuikimbia hiyo sauti. Asante sana
 

Lahasha sitajipeleka huko mkubwa!
 
tetere my dear! this is Wiyelele we are talking with!
Kwa tunaomfahamu tunajua tatizo hapa ni nini!
NA YEYE MWENYEWE ANALIJUA!hajaamua tu kutii kiu ya kile anachokiamini!
snowhite mara nyingi Wiyelele akisema ana tatizo huwa siamini kama ni kweli ana tatizo maana issue ambayo wengine wanatetemeka kwa hofu yeye ndio kwanza anafanya mzaha ili hali inamkabili yeye. Anyway, ngoja wataalamu wa majini wamshauri maana naona wapo wengi.
 
Last edited by a moderator:
'

MwaJ, bahati mbaya huwezi kuyaona machozi yangu yakichuluzika hapa JF, na huwezi kuiona sura yangu ikiwa na huzuni hapa JF. Unachoweza kukiona na maandishi yanayoelezea uhalisia wa mambo yanayonipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…