MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,448
kachague mke uoe!
Hiyo shule zote zile za jinsia moja...kwa hiyo madada wa Msalato, Nganza, St. Francis n.k jumlisha na zile njemba za Ilboru, Mzumbe, Bwiru Boys, Tabora Boys hii kitu tumekula sanainteresting!! thx for info..... is it done kwenye boys schools only au hata mixed gender schools?
interesting!! thx for info..... is it done kwenye boys schools only au hata mixed gender schools?
hahahahah!!! but walikuwa wanawasaidia although nyimlikuwa mnachukia balaa!!haswa...nimekula sana makande na mandondo yenye hiyo makitu...nilikuwa kama Maksai zobazoba tu
ni safe na inasaidia coz haueki mengi kiasi cha kukudhuru ni kidogo tu!!what is this?? naomba maelezo zaidi, sijawahi kusikia hii kitu. Is it safe?
hahahahah!!! but walikuwa wanawasaidia although nyimlikuwa mnachukia balaa!!
teh teh teh!!! so na we unataka umuue mwenzio softly!!??they were killing us softly...kama sumu ya Mwakyembe
teh teh teh!!! so na we unataka umuue mwenzio softly!!??
uwe unanyunyuzia kidogo Mafuta ya Taa katika misosi yako...
Baaasi. kwiisha kazi.Ni kawaida hiyo ukifikia balehe....
so ondoa shaka yatapita hayo
Nakumbuka tulikuwa tukiwekewa mafuta ya taa nilipokuwa Kwiro Boyz lakini siamini kama ndiyo hasa yanachofanya. Niliweza kutulia labda kwa kuwa nilikuwa nikipambana na PCB enzi izo. By the way, nitashinda hii vita maana shetani alishashindwa miaka lukuki iliyopita pale Kalvar