tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Ni kwamba leo asubuhi nikiwa safarini mjini Dodoma nimesikia mapitio ya magazeti katika redio moja inayoitwa Impact FM, kichwa cha habari cha gazeti liitwalo Sauti Huru kimesomeka hivi 'Maskini Dr.Slaa, kundi la Mbowe lapanga Kummaliza, yumo Lema'.
Habari hiyo itakuwa imewashtua wanachama, wapenzi na watanzania wanaopenda mabadiliko. Hivyo naomba viongozi wa CHADEMA wasikubali kugawanywa na maadui wao kisiasa kwani CHADEMA kwasasa kinaonekana kuwa ni tegemeo la wanyonge.
Pengine hiyo ni mojawapo ya harakati za kutaka kukidhoofisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Ikumbukwe kwamba tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini, kila chama cha upinzani kinachoonekana kuwa na nguvu za kisiasa hutafutiwa mbinu za kukidoofisha.
Habari hiyo itakuwa imewashtua wanachama, wapenzi na watanzania wanaopenda mabadiliko. Hivyo naomba viongozi wa CHADEMA wasikubali kugawanywa na maadui wao kisiasa kwani CHADEMA kwasasa kinaonekana kuwa ni tegemeo la wanyonge.
Pengine hiyo ni mojawapo ya harakati za kutaka kukidhoofisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Ikumbukwe kwamba tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini, kila chama cha upinzani kinachoonekana kuwa na nguvu za kisiasa hutafutiwa mbinu za kukidoofisha.