Ni kwamba leo asubuhi nikiwa safarini mjini Dodoma nimesikia mapitio ya magazeti katika redio moja inayoitwa Impact FM, kichwa cha habari cha gazeti liitwalo Sauti Huru kimesomeka hivi 'Maskini Dr.Slaa, kundi la Mbowe lapanga Kummaliza, yumo Lema'.
Habari hiyo itakuwa imewashtua wanachama, wapenzi na watanzania wanaopenda mabadiliko. Hivyo naomba viongozi wa CHADEMA wasikubali kugawanywa na maadui wao kisiasa kwani CHADEMA kwasasa kinaonekana kuwa ni tegemeo la wanyonge.
Pengine hiyo ni mojawapo ya harakati za kutaka kukidhoofisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Ikumbukwe kwamba tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini, kila chama cha upinzani kinachoonekana kuwa na nguvu za kisiasa hutafutiwa mbinu za kukidoofisha.
Kuna magazeti mengine wala huwa sina haja hata kuyasoma yaani yamekaa kimagumashi tu,jamani kuna yeyote ambaye amewahi nunua gazeti hili?Maana ndio kwanza nalisikia leo.
hapa utawakera wana cdm, na utashuhudia matusi sasa hivi we sikilizia tu. Maana matusi ndo ukombozi wao.ni kwamba leo asubuhi nikiwa safarini mjini dodoma nimesikia mapitio ya magazeti katika redio moja inayoitwa impact fm, kichwa cha habari cha gazeti liitwalo sauti huru kimesomeka hivi 'maskini dr.slaa, kundi la mbowe lapanga kummaliza, yumo lema'.
Habari hiyo itakuwa imewashtua wanachama, wapenzi na watanzania wanaopenda mabadiliko. Hivyo naomba viongozi wa chadema wasikubali kugawanywa na maadui wao kisiasa kwani chadema kwasasa kinaonekana kuwa ni tegemeo la wanyonge.
Pengine hiyo ni mojawapo ya harakati za kutaka kukidhoofisha chama cha demokrasia na maendeleo (chadema). Ikumbukwe kwamba tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini, kila chama cha upinzani kinachoonekana kuwa na nguvu za kisiasa hutafutiwa mbinu za kukidoofisha.
RADIO:IMPACT FM
GAZETI:SAUTI HURU
Hayo ni yako chadema ipo mmoja mtatumia kila mbinu haitagawanyika kamwe! mbinu zilizotumika NCCR,na CUF tunazijua kamwe hamuwezi kuzitumia kwa chadema!never divide and rule haiwezekani kwa peoples power!!!!!!!!!
Kundi gani hilo la Mbiowe? Dr Slaa na Mbowe sii ni kundi moja?
Huu uongo mwingine bwana!
Gazeti lenyewe sauti huru!
Hakika mkuu umenenaHivi ni vile vijarida vinavyouzwa kwa kilo. Wala usiumize kichwa
Ni kwamba leo asubuhi nikiwa safarini mjini Dodoma nimesikia mapitio ya magazeti katika redio moja inayoitwa Impact FM, kichwa cha habari cha gazeti liitwalo Sauti Huru kimesomeka hivi 'Maskini Dr.Slaa, kundi la Mbowe lapanga Kummaliza, yumo Lema'.
Habari hiyo itakuwa imewashtua wanachama, wapenzi na watanzania wanaopenda mabadiliko. Hivyo naomba viongozi wa CHADEMA wasikubali kugawanywa na maadui wao kisiasa kwani CHADEMA kwasasa kinaonekana kuwa ni tegemeo la wanyonge.
Pengine hiyo ni mojawapo ya harakati za kutaka kukidhoofisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Ikumbukwe kwamba tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini, kila chama cha upinzani kinachoonekana kuwa na nguvu za kisiasa hutafutiwa mbinu za kukidoofisha.
Makundi yapo sisiemu.! Chademja hatuna makundi,upumbavu wenu wakifisadi pelekeni huko kwa jeykey na magamba wenzake.
kama ccm wanachafuana wao kwa wao ndio itakua cdm...ugomvi na kutoelewana katika vyama ni jambo la kawaida...