tangu suala la mikopo lianze tanzania, ni matatizo tu jamani
labda tunapaswa kujua mipaka na majukumu ya mbunge
maana kama hata kufuatilia mikopo itakuwa i jukumu lake
basi tujiandae wanavyuo wachumba au wapenzi wakihitilafiana, ajiandae kupokea kesi
kwa serikali tuliyonayo sasa, no maandamano no kupata haki yako
tafakari chukua hatua