ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 916
- 1,269
Kuna Chuo wamepewa idhini ya kuwa tawi ilihali hakuna hata hosteli....Chuo kipo katikati ya mji Ni makelele asubuhi mpaka jioni usiombee
Mzee baba tupo wote hapo saut, japo kwny mchongo wa kuappload matokeo wanazngu.Au sio? Popote kambi man,wagumu tunadumu.