Kadanganywa na westernersNo hijab no Bukha no buibui
Na ukute mwanaume huyo ndo utajua hujui.
Sasa huoni yupo na mumewe hapo?
Huyu kijana hapa kaowana na wanne siku moja:Hivi waarabu nao wanaoa wake zaidi ya wawili?
H
Huyu kijana hapa kaowana na wanne siku moja:
View: https://youtu.be/EaEKkThxtj8?si=c5xSe0vzszZXBxPT
Kumbe akiwa na mumewe hata nje sheria inasema asivae?Sasa huoni yupo na mumewe hapo?
Umeona ni nje hapo? Mtu yupo garden hapo na mumewe ametupia vitu vya pesa nyingi kabisa, ajizongezonge nini?Kumbe akiwa na mumewe hata nje sheria inasema asivae?
H
Huyu kijana hapa kaowana na wanne siku moja:
View: https://youtu.be/EaEKkThxtj8?si=c5xSe0vzszZXBxPT
Madam mm meulza jue,Umeona ni nje hapo? Mtu yupo garden hapo na mumewe ametupia vitu vya pesa nyingi kabisa, ajizongezonge nini?
Huoni mumewe ndiyo kavaa hijab?
Duuh mkuu kwel haya? Kwanin sas wakat wenzetu matajiri hukoNi
Ok sawa. Katika kusoma kwangu nilibahatika kusoma na waarabu na pia walikua marafiki zangu. Sasa nilikua nikienda kwao namkuta baba na mama pekee na ndugu zao wengine. Kuna muda nikamuuliza huyo rafiki yangu, kwanini Mzee wake ana mke mmoja naye ni muislam pure. Jamaa akanijibu kua, ni nchi chache sana za kiarabu Zinaruhusu kumiliki mke zaidi ya mmoja.
Kama kwenu Kuna waarabu fuatilia hili. Na hakuna ustaarabu Duniani unao entertain mke zaidi ya mmoja... Mfalme Mohammed VI wa Morocco ambaye ni damu Moja na mtume ana mke mmoja .. Watakuambia tu Petro alikua na wake 900 kipindi hicho anayekuambia ana mke mmoja au Hana kabisa. Baadaye unakua na mawazo ya kuoa wenzio Wana mawazo juu ya rasirimali zako. Fungua macho tizama mbeleDuuh mkuu kwel haya? Kwanin sas wakat wenzetu matajiri huko
Ndio utetezi huu?Sasa huoni yupo na mumewe hapo?
Wapo nje ndio maana cameraman kawazoom aka shot, Saudia wahuni tu hao , hadi pombe viongozi wanakunywa tena wanazitandika vizuri.Umeona ni nje hapo? Mtu yupo garden hapo na mumewe ametupia vitu vya pesa nyingi kabisa, ajizongezonge nini?
Huoni mumewe ndiyo kavaa hijab?
Njoo Africa sasa
Uone dini za kuletewa zinavyotutoa roho kuliko wenye dini zao
Sasa huoni yupo na mumewe hapo?
Madam mm meulza jue,
Nilikuwa cjui gadeni yake ipo ndani, nitajulia wapi mm nimekulia kwenye nyumba mlango wa bati🤣🤣