Saudi Arabia bans 50 baby names

Saudi Arabia bans 50 baby names

Samahani Bufa ...wewe ndiyo huelweki kabisa !! maana unashinikiza utamaduni wako kwa wengine.. Wao huru na wao wapendavyo wewe na mengineo humu yanawahusu nini ya wenzenu? badilisheni yenu na murekebishe tamaduni zenu!!
ndo muje waeleze wengine.!

Sijui umesoma wapi hadi unasema nashinikiza wengine tamaduni zangu.. Nimetoa pendekezo that kwanini nasisi tusianze kufuata tamaduni zetu kama watu wengine wanavyofuata zao, Saudia ni mfano tu wa kile walichokifanya kwa kuzingatia tamaduni zao
 
Kwa hiyo kwa sisi vichwa Maji unashauri tuendelee kuita watoto, shida,chozi, siambiliki, mwanambaya, tabu situmai, sijui n.k

Waweza muita hayo kama yanakupendeza ama waweza muita Bahati, Furaha, Upendo, Amani, Hekima, Busara, Heshima, Haki na mengine mengi
 
Nimesoma article yako mkuu kuhusu vazi la taifa kuna mantiki ndani yake

Kwanza kabisa shukurani kwa kuona mantiki. Mara nyingine habari inaweza kuwa na kina kinachozamisha wengine kiasi cha kukosa hewa na uelewa.

Haya ya Saudi kwa kiasi fulani, ukifikiri kwa kina, ndiyo hayo hayo ya kuweka kamati kwa wananchi kuhusu vazi la taifa. Ruhusu majina yote, wazazi wajinga wawape watoto wao majina ya kijinga. Tujue hawa wazazi wajinga, hawa wakatoliki, hawa wanspenda Segere Matata, hawa wanajeshi, hawa Waingereza weusi. I Ruhusu hata kubadilisha majina kuwe rahisi, kama mtu hapendi jina lake abadilishe tu.

Mfalme anaogopa mtoto akiitwa "Mfalme" anaweza kuwa mfalme kweli? Mfalme yuko so insecure asingeweza kym face Mzee Kawawa kwenye rabsha za trade union, after all Mzee Rashid middle name yake "Mfaume"!

Hiyo habari nimeandika January 2012, leo March 2014. Hatujafikia tamati ya hii kamati bado. Na watu washaisahau.

Katika somo la uongozi, umangimeza unavyojitanda, hususan ukifuatilia Parkinson's Law, utaona kazi itaweza kumalizika katika muda wowote mrefu zaidi iliyopangiwa kumalizika.

Kama tume hizi hazijapangiwa muda wa kumaliza kazi, hilo linaweza kumaanisha kazi haimaliziki, au inaweza kumalizika kwa kuchelewa sana kiasi tamati yake isiwe na maana tena.

Kumetokea mengine, tume na kamati nyingine zimeundwa, zitasahauliwa hivyo hivyo.

Mpaka hapo yatakapotokea mengine na kui choke serikali nzima kwa kamati ziso tamati wala hati yenye chati ya dhati, Tandahimba mpaka Babati.

Talk about a short attention span and penchant for pretentious politics purely perpetrating power pushes for people's propositions.
 
Sijui umesoma wapi hadi unasema nashinikiza wengine tamaduni zangu.. Nimetoa pendekezo that kwanini nasisi tusianze kufuata tamaduni zetu kama watu wengine wanavyofuata zao, Saudia ni mfano tu wa kile walichokifanya kwa kuzingatia tamaduni zao
Nime kusamehe tu- Iddi Amin !! nimefurahi mkuu kukuchemsha banaa!!
kila la heri Mkuu
 
Any such forceful preservation renders itself devoid of whatsoever grandiose ideals it purports to preserve, from the fact that the forcefulness depicts the ideals as not organically popular enough to garner their own mass appeal.

Even a forced heaven will start to increasingly look like hell to some, from the mere fact that it is forced.

Let freedom reign above all thinly disguised pretenses at cultural fidelity and insipid mitigation against all apparent foreign corrosive effects.

If these tyrannycal countries really want to preserve their cultures, they should focus on economic and educational development, as well as on encouraging economic self preservation first, along with an organic, people based spproach at preservation.

You can't legislate culture, especially if you import boatloads of it from Hollywood, Cairo and Bollywood.

Not to mention online.

Kweli kazi tunayo. Tunazungumzia kutumia majina ya asili yetu, ili kudumisha utamaduni wetu, halafu michango kwa lugha ya kiingereza!!
 
Kweli kazi tunayo. Tunazungumzia kutumia majina ya asili yetu, ili kudumisha utamaduni wetu, halafu michango kwa lugha ya kiingereza!!

Mchango hausisitizi umuhimu wa utamaduni bali umuhimu wa uhuru wa watu kujichagulia wanachotaka kufanya wao wenyewe, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kuamua kutumia Kiswahili au Kiingereza, lugha ambazo zote ni rasmi Tanzania.

Labda kwa sababu moja au nyingine hukuweza kuusoma/ kuuelewa mchango.
 
Kiarabu ndio mavazi ya asili ya Afrika, kwani Uarabu umeanzia Afrika.
Mimi ni mwafrika asilia na mavazi ya asili ya kabila langu hayana uhusiano wowote na mavazi ya kiarabu.
 
sisi wanuakyusa wakina mwaiboro mwakipumbu atufile atufigwegwe wenyeji wa dah mfanyeni sasa babake anaitwa bure ukiunganisha mfanyeni bure.

Niliwahi kutana na Mwaikuma nilipoteza network kulitaja mbele ya dingi.
 
shout out to NDIMARA TEGAMBWAGE.,KINGUNGE NGOMBARE MWIRU,Dikembe Mutombo Mpolondo Mukamba Jean-Jacques Wamutombo,Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Za Banga AND OTHERS

weka picha
 
Back
Top Bottom