Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 13,655
- 28,827
- Thread starter
- #41
What next after changing your name into tradition one? What will you benefit from that? Mambo mengine ni vyema kufahamu watu wanayafanya kwa mujibu ya iman zao. Hawa waSAUDIA hawajapiga marufuku majina hayo kwakuwa yanaenda kinyume na tamaduni za waarabu bali kwakuwa yanamaana mbaya katika upande wa dini. Kifupi kama unamawazo ya kuwa na majina yako ya kiasili hujakatazwa lakini pia jitahidi ufuate na mila na desturi yako huku ukiachana na kuwa mfuasi wa dini kama uislamu au ukristo ambazo kimsingi hao ndio waliokuja kutufundisha.
Mkuu sijui kama umesoma post vyema, Saudia wamekataza hayo majina kwa sababu kuu mbili, mosi yako kinyume na tamaduni zao, mbili ndio za sababu za kidini
Nitapata faida ya utambulisho wangu kupitia jina na nitakuwa nimetunza asili yangu
Siamini dini ya mtu mweupe yeyote FYI