Saudi Arabia bans 50 baby names

Saudi Arabia bans 50 baby names

hii kitu haiwezekani kw jamii ya tanzania, acha kukurupuka
kwa wao saudia waliweza only kwa kutumia muamvuli wa dini na utamaduni wao ni mmoja kwamba hamna diversity kubwa, wote ni watu wa dini moja the same na culture
sasa utafanyeje hivi kwa nchi ya tanzania yenye diversity ya culture, mila, dini, na influence za kimaisha.
hem nipe majina ya kiasili ya watanzania?? yapoje, na kuna uhakika gani kua kweli ya tanzania na sio ya nchi jirani kama kenya na kongo???

Wewe ni mgonjwa wa akili nini? Hivi uitwe Alex, Colman au Abdallah, Farouk, Hajat n.k. hayo ni majina ya mtanzania? Na unajisifu kabisa na majina ya wenzako. Umeongelea suala la culture, mimi sioni uhusiano wa culture ya mbantu na hayo majina niliyotaja.
 
tuwape big up watu wa west africa, hata kama wanachukua majina ya kiarabu au kiizungu wanayabadili kuendana na yao, kwa mfano mohamed wanaita mamo etc
 
Saudi Arabia hakuna democracy kabisa. Watu wanaishi utadhani wapo mbugani.

hyo nch yko yenye democracy imefanya nini against poverty?pato la mtu wa kawaida saudi arabia ni more than 15 dollar while your country is less than 1 dollar?democracy gani unayoisifia?shallow governance km tz?gaddafi hakuwa na democracy na kila raia alikuwa anapewa 2000 kwa kila mwezi uajiriwe au usiajiriwe! Kitu ambacho mume wenu marekani hawezi na haitotokea nchini kwake,nchi inayosifika kwa democracy pato la mtu wa kawaida ni 7 dollars shshshame on u!
 
hyo nch yko yenye democracy imefanya nini against poverty?pato la mtu wa kawaida saudi arabia ni more than 15 dollar while your country is less than 1 dollar?democracy gani unayoisifia?shallow governance km tz?gaddafi hakuwa na democracy na kila raia alikuwa anapewa 2000 kwa kila mwezi uajiriwe au usiajiriwe! Kitu ambacho mume wenu marekani hawezi na haitotokea nchini kwake,nchi inayosifika kwa democracy pato la mtu wa kawaida ni 7 dollars shshshame on u!

Nadhani hujaongelea income gap kati ya tajiri na masikini, unadhani wanavyoonyesha majengo ya kifahari kila mtu anaweza kuwa nayo?? Utajiri wa mafuta unamilikiwa na wachache sana tena koo za kifalme, wengine wapo njaa kama wewe.
 
Back
Top Bottom