Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,628
- 12,579
Weupe wa mchongo............toto jeupeeee.
Weupe wa mchongo............toto jeupeeee.
Enzi izo cjui cha mkorogo wala nini😄😄Weupe wa mchongo......
Kipindi chake saaa ngapi huko StartimesYupo channel ya mambo tv kama sio rembo tv,ipo startimes,kipindi chake vilevile anafanya interview
Sure kwa kipindi chake alivyotoka.. angefaaa awe mbali sanaKatika watangazaji wakiokosaga content na ubunifu yule dada alizidi asee
Mtafute mme wake anaweza kua anajibuHuyu mtangazaji Sauda Mwilima Kama sijakosea jina Yuko wapi siku hizi?.Alikuwa anakipindi star tv,akiwahoji wasanii mbalimbali wa mziki.
Aah yule mtoto alikua kiboko,sauti, macho dahachana na sauda kuna fatma shumweta toto ndefu,sura baby face,rangi swadakta na sauti ya yakumtoa kichwa wazi pangoni...
Nadhani una hamu ya kuja kupigwa Tanganyika jeki tena na Yule mgamboUnamuulizia Mke wangu umpeleke wapi?
😁😁😁!
Ndoivo hahahaJ
😀😁Jaman!
NTAMNYOOSHANadhani una hamu ya kuja kupigwa Tanganyika jeki tena na Yule mgambo