Saturn V: Mashine iliyopeleka binadamu mwezini

bukoba boy

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
5,371
3,946
Saturn V (five) ni roketi iliyojengwa na NASA kwa ajili ya kupeleka watu mwezini.Hii roketi ilikua na nguvu za sana na ya pekee iliyoweza kurushwa kwa mafanikio.Saturn V ilotumika na progamu ya Apollo kwa miaka ya 60 na 70.

Ilikua na urefu wa meter 111 sawa na urefu wa jengo la ghorofa 36.Ikiwa imejazwa mafuta kwa kurushwa ilikua na uzito wa tani 280, uzito wa kama Tembo 40.Ilikua na uwezo wa kubeba mzigo wa tani 130 mpaka "orbit" ya dunia(eneo ambalo dunia hupita wakati wa kuzunguka jua) na tani 50 mpaka mwezini.

Saturn V ilikua na hatua 3 za ufanyaji kazi wake,kila hatua itawasha injini zake mpaka mafuta yaishe halafu itajitoe kutoka roketi,injini za hatua inayofuata zinawaka na roketi kuendelea na safari.

Hatua ya kwanza ndio ilikua na nguvu kuliko zote sababu ilikua na kazi nzito ya kuinyanyua roketi nzima kutoka ardhini.hatua hii iliruka mpaka urefu wa kwenda juu (altitude)wa 68km.Hatua mbili za kwanza zinaangukia baharini baada ya kujitenga hatua ya tatu inabaki angani au kuachwa mwezini.
863b192004e443eef92134c57e38de5c.jpg

c8068fe1309aefb0fcdb42d4a472baa4.jpg


9358993fef4c20d622955604db840f38.jpg

18d2528a58401d5c7eb8eafec742bcdd.jpg

e1c8c0d16c459ce3dfe9e2c4634eb3a2.jpg
 
Saturn V(five) ni roketi iliyojengwa na NASA kwa ajili ya kupeleka watu mwezini.Hii roketi ilikua na nguvu za sana na ya pekee iliyoweza kurushwa kwa mafanikio.

Saturn V ilotumika na progamu ya Apollo kwa miaka ya 60 na 70.


Ilikua na urefu wa meter 111 sawa na urefu wa jengo la ghorofa 36.Ikiwa imejazwa mafuta kwa kurushwa ilikua na uzito wa tani 280, uzito wa kama Tembo 40.Ilikua na uwezo wa kubeba mzigo wa tani 130 mpaka "orbit" ya dunia(eneo ambalo dunia hupita wakati wa kuzunguka jua) na tani 50 mpaka mwezini.

Saturn V ilikua na hatua 3 za ufanyaji kazi wake,kila hatua itawasha injini zake mpaka mafuta yaishe halafu itajitoe kutoka roketi,injini za hatua inayofuata zinawaka na roketi kuendelea na safari.
Hatua ya kwanza ndio ilikua na nguvu kuliko zote sababu ilikua na kazi nzito ya kuinyanyua roketi nzima kutoka ardhini.hatua hii iliruka mpaka urefu wa kwenda juu (altitude)wa 68km.Hatua mbili za kwanza zinaangukia baharini baada ya kujitenga hatua ya tatu inabaki angani au kuachwa mwezini.
Halafu kuna ng'ombe jike humu wanaidharau Marekani, achana na Marekani bana, Nakubali kuwa Russia wapo vizuri Sana pia ila when it comes to America every nation must bow down to conced the greatness of this mighty nation, mambo yote yanafanyika area 51,Nevada na Russia hawajaweza kupenyeza ujasusi hapo, USA baby...
 
na kurudi je...hizo injini zilikuwa zinaenda kuwachukua au
Swali lako zuri.

Mashine ya hatua ya tatu(Lunar Module)iliyokua inawapeleka mwezini, ikitua ,wakati wa kuondoka inajichomoa tena na kuondoka na wanaanga wakiwa katika "sub mashine" inayoitwa Apollo spacecraft(ikiwa na injini moja) hiyo ndio huwarudisha duniani.Na lunar module kubaki mwezini.
 
Watanzania bwana!
Bilioni 20 za kununua hisa 51 ni ndogo sana wakati yeye asubuhi hajanywa chai kwa sababu amekosa 700.
Haya sasa, hoo hakuna chombo kilifika mweziniiii wakati yeye hata cha kuruka umbali wa mita sita ameshindwa kuunda.
 
Halafu kuna ng'ombe jike humu wanaidharau Marekani, achana na Marekani bana, Nakubali kuwa Russia wapo vizuri Sana pia ila when it comes to America every nation must bow down to conced the greatness of this mighty nation, mambo yote yanafanyika area 51,Nevada na Russia hawajaweza kupenyeza ujasusi hapo, USA baby...
Inferiority complex....
 
Back
Top Bottom