Satanic verses

Satanic verses

Mimi nimekisoma na ninacho. Ila siwezi kumpa mtu, naweza julikana nikakatwa shingo.

Pia naweza kwenda jela.
Wenyewe wakikusikia unacho lazima wakuchinje.
 
Maskini wavaa kobazi linaenda kuwakuta zito😯😯
 
Msema ukweli siku zote huchomwa mikuki...Lakini ukweli ni kama pembe la ng'ombe,, Utauchelewesha tu ila huwezi kuuzuia
 
Hii Kitabu Satanic verses. Nani amekisoma au anacho (naomba soft copy) napenda sana kuelewa why Mwandishi wake anachukiwa na Waislamu. ?
Sartanic Verses au Aya za shetani ni kitabu cha Fasihi Simulizi ambacho kimetungwa kwa kuzingatia uhalisia maisha na matukio lakini kwa kumtumia mtume Muhammad na maisha yake.

Kitabu hichi kilitoka mwaka 1988 na TATIZO kubwa ni matumizi ya lugha ya kashfa inayokufuru dini ya kiislam na ambayo mwandishi Salman Rushdie aeleza kuwa ni chanzo cha ghasia, mauaji na misimamo mikali (Islamic fundamentalism).

Moja ya sifa kuu ya mwandishi wa Fasihi Simulizi ni uwezo wa matumizi ya lugha, upangaji wa wahusika katika simulizi hiyo , mazingira, hisia na hali. Hivyo Rushdie atumia lugha inoonekana (kwa wasomaji wa kijujuu) kama ya mzaha hivi na ndo hapo aonekana ametumia lugha ya kashfa.

Kitabu hichi kilipotoka tu waislamu duniani walilaani na hata kufikia kutishia maisha ya Rushdie na wale wote walokuwa wakisaidiana nae kutayarisha kitabu hichi na hata kufikia kupigwa marufuku kuingizwa nchini India.

Mwaka mmoja baadae yaani 1989 kiongozi wa Iran Ruhollah Khomeini ndie alieamuru Salman Rushdie auawe popote alipo agizo liloitwa Fatwa ambalo lilisababisha majaribio kadha wa kadha ya kuondoa uhai wa mwandishi huyo.

Katika simulkizi ya kitabu hichi Rushdie amewatumia wahusika wawili wakuu mwanamme aitwae Gibreel na mkewe aitwae Saladin.

Sasa, katika vitabu vya kiislam hususan Quran Gibreel ni malaika mkuu ambae yu karibu na mtume Muhammad, hivyo huwezi kumfananisha au kuhusisha na matukio ambayo hayamo katika misingi ya dini ya kiislam.

Kwa mfano Saladin amfananisha Gibreel na shetani kwamba amesababisha uokovu kutoka katika anguko la ndege walokuwa wakisafiria pale ilipotekwa nyara ikiwa angani na kuanguka lakini wao wawili kupona.

Saladin nae akakamatwa na askari wa uhamiaji ambao walinyanyasa kijinsia na kipelekea yeye kupata ukichaa. Hali hiyo ni tofauti kabisa na hali halisi kwamba Gibreel alikuwa ameoa mke.

Kosa jingine ni kumbadilisha jina Mtume Muhammad na kumwita Mahound au mjumbe na kuwa ana wapinzani wawili Hind na Baal na pia kuhusisha mtume Muhammad na danguro ambalo pia humo wamo wanawake malaya ambao watumia majina ya wake za mtume.

Na kosa la tatu linopigilia msumari kwenye jeneza ni pale Salman Rushdie katika kitabu chake anapomtumia Ayesha mwanamke wa kihindi ambae hudai kuwa apewa maono ya malaika Gibreel na kisha kwenda kuwaambia wanakijiji wote waende Mecca kuhiji lakini kwa kutembea juu ya bahari ya Arabia kitendo kilichopelekea wanakijiji wote kuingia baharini na kupotea.

Huo ndo mwongozo wa makosa yanosemwa ya mwandishi Salman Rushdie na kitabu chake cha Aya za Shetani.
 
Sartanic Verses au Aya za shetani ni kitabu cha Fasihi Simulizi ambacho kimetungwa kwa kuzingatia uhalisia maisha na matukio lakini kwa kumtumia mtume Muhammad na maisha yake.

Kitabu hichi kilitoka mwaka 1988 na TATIZO kubwa ni matumizi ya lugha ya kashfa inayokufuru dini ya kiislam na ambayo mwandishi Salman Rushdie aeleza kuwa ni chanzo cha ghasia, mauaji na misimamo mikali (Islamic fundamentalism).

Moja ya sifa kuu ya mwandishi wa Fasihi SImulizi ni uwezo wa matumizi ya lugha, upangaji wa wahusika aktika simulizi hiyo , mazingira, hisia na hali. Hivyo Rushdie atumia lugha inoonekana (kwa wasomaji wa kijujuu) kama ya mzaha hivi na ndo hapo aonekana ametumia lugha ya kashfa.

Kitabu hichi kilipotoka tu waislamu duniani walilaani na hata kufikia kutishia maisha ya Rushdie na wale wote walokwa wakisaidiana nae kutayarisha kitabu hichi na hata kufikia kupigwa marufuku kuingizwa nchini India.

Mwaka mmoja baadae yaani 1989 kiongozi wa Iran Ruhollah Khomeini ndie alieamuru Salman Rushdie auawe popote alipo agizo liloitwa Fatwa ambalo lilisababisha majaribio kadha wa kadha ya kuondoa uhai wa mwandishi huyo.

Katika simulkizi ya kitabu hichi Rushdie amewatumia wahusika wawili wakuu mwanamme aitwae Gibreel na mkewe aitwae Saladin.

Sasa, katika vitabu vya kiislam hususan Quran Gibreel ni malaika mkuu ambae yu karibu na mtume Muhammad, hivyo huwezi kumfananisha au kuhusisha na matukio ambayo hayamo katika misingi ya dini ya kiislam.

Kwa mfano Saladin amfanananisha Gibreel na shetani kwamba amesababisha uokovu kutoka katika anguko la ndege walokuwa wakisafiria pale ilipotekwa nyara ikiwa angani na kuanguka lakini wao wawili kupona.

Saladin nae akakamatwa na askari wa uhamiaji ambao walinyanyasa kijinsia na kipelekea yeye kupata ukichaa. Hali hiyo ni tofauti kabisa na hali halisi kwamba Gibreel alikuwa ameoa mke.

Kosa jingine ni kumbadilisha jina Mtume Muhammad na kumwita Mahound au mjumbe na kuwa ana wapinzani wawili Hind na Baal na pia kuhusisha mtume Muhammad na danguro ambalo pia humo wamo wanawake malaya ambao watumia majina ya wake za mtume.

Na kosa la tatu linopigila msumari kwenye jeneza ni pale Salman Rushdie katika kitabu chake anapomtumia Ayesha mwanamke wa kihidhi ambae hudai kuwa apewa maono ya malaika Gibreel na kisha kwenda kuaambia wanakijiji wote waende Mecca kuhiji lakini kwa kutembea juu ya bahari ya Arabia kitendo kilichopelekea wanakijiji wote kuingia baharini na kupotea.

Hiuo ndo mwongozo wa makosa yanosemwa ya mwandishi Salman Rushdie na kitabu chake cha Aya za Shetani.
Hongera kwa ufafanuzi mzuri wengine wanakuja na mihemko ya kiitikadi tu.
 
Sartanic Verses au Aya za shetani ni kitabu cha Fasihi Simulizi ambacho kimetungwa kwa kuzingatia uhalisia maisha na matukio lakini kwa kumtumia mtume Muhammad na maisha yake.

Kitabu hichi kilitoka mwaka 1988 na TATIZO kubwa ni matumizi ya lugha ya kashfa inayokufuru dini ya kiislam na ambayo mwandishi Salman Rushdie aeleza kuwa ni chanzo cha ghasia, mauaji na misimamo mikali (Islamic fundamentalism).

Moja ya sifa kuu ya mwandishi wa Fasihi SImulizi ni uwezo wa matumizi ya lugha, upangaji wa wahusika aktika simulizi hiyo , mazingira, hisia na hali. Hivyo Rushdie atumia lugha inoonekana (kwa wasomaji wa kijujuu) kama ya mzaha hivi na ndo hapo aonekana ametumia lugha ya kashfa.

Kitabu hichi kilipotoka tu waislamu duniani walilaani na hata kufikia kutishia maisha ya Rushdie na wale wote walokwa wakisaidiana nae kutayarisha kitabu hichi na hata kufikia kupigwa marufuku kuingizwa nchini India.

Mwaka mmoja baadae yaani 1989 kiongozi wa Iran Ruhollah Khomeini ndie alieamuru Salman Rushdie auawe popote alipo agizo liloitwa Fatwa ambalo lilisababisha majaribio kadha wa kadha ya kuondoa uhai wa mwandishi huyo.

Katika simulkizi ya kitabu hichi Rushdie amewatumia wahusika wawili wakuu mwanamme aitwae Gibreel na mkewe aitwae Saladin.

Sasa, katika vitabu vya kiislam hususan Quran Gibreel ni malaika mkuu ambae yu karibu na mtume Muhammad, hivyo huwezi kumfananisha au kuhusisha na matukio ambayo hayamo katika misingi ya dini ya kiislam.

Kwa mfano Saladin amfanananisha Gibreel na shetani kwamba amesababisha uokovu kutoka katika anguko la ndege walokuwa wakisafiria pale ilipotekwa nyara ikiwa angani na kuanguka lakini wao wawili kupona.

Saladin nae akakamatwa na askari wa uhamiaji ambao walinyanyasa kijinsia na kipelekea yeye kupata ukichaa. Hali hiyo ni tofauti kabisa na hali halisi kwamba Gibreel alikuwa ameoa mke.

Kosa jingine ni kumbadilisha jina Mtume Muhammad na kumwita Mahound au mjumbe na kuwa ana wapinzani wawili Hind na Baal na pia kuhusisha mtume Muhammad na danguro ambalo pia humo wamo wanawake malaya ambao watumia majina ya wake za mtume.

Na kosa la tatu linopigila msumari kwenye jeneza ni pale Salman Rushdie katika kitabu chake anapomtumia Ayesha mwanamke wa kihidhi ambae hudai kuwa apewa maono ya malaika Gibreel na kisha kwenda kuaambia wanakijiji wote waende Mecca kuhiji lakini kwa kutembea juu ya bahari ya Arabia kitendo kilichopelekea wanakijiji wote kuingia baharini na kupotea.

Hiuo ndo mwongozo wa makosa yanosemwa ya mwandishi Salman Rushdie na kitabu chake cha Aya za Shetani.
Umeeeleza vizuri sana hongera kwa kuchukua muda kutupa kwa uchache nitakitafuta iko kitabu umenipa hamasa sana .

Mi sio msomaji sana ila ntakipata Kuna maktaba bubu zipo...kama kitakuwa na logic tutaunganisha dots.

Ila sioni sababu ya kumpiga na kumshambulia jamaa kabisa wamuache sema hao wenzetu wa izo nchi Wana misimamo ya hatar mno
 
Back
Top Bottom