Sasa Papa Francis kutembelea tena Afrika Mashariki lakini si Tanzania

SubiriJibu

JF-Expert Member
Jun 26, 2009
1,803
1,863
Leo Vatican imetangaza rasmi kwamba Papa Francis atembelea nchi tatu za Afrika Mashariki.

Ziara hiyo itafanyika Septemba mwaka huu na nchi atakazotembelea ni Mozambique, Madagascar na Mauritius.

Hii ni mara ya pili Papa Francis kutembelea eneo la Afrika Mashariki. Majuzi tu alitembelea Uganda na Kenya. Kumbe Papa Francis analipenda hili eneo la Afrika Mashariki.

Hii maana yake mapapa wanalipenda hili eneo. Mara ya kwanza Papa Paul VI alitembelea Uganda na akazindua Namugongo sehemu ambayo maraisi wa nchi hizo kukimbizana kupata umaarufu wa kupatembelea pale.

Mara nyingine Papa John Paul akatembelea Kenya. Tanzania ikatembelewa na Papa John Paul mwaka 1990 tu, tena wakati huo kArdinali Rugambwa anajiandaa kuondoka madarakani na ingeonekana Kardinali wa kwanza mwafrika anodoka madarakani bila Papa kukanyaga nchini mwake.

Hivyo, Uganda na Kenya zimetembelewa na Papa mara mbili. Tanzania ndiyo hiyo mara moja tu.

TAARIFA na JADILI:

SOURCE: Vatican:
Pope Visist to East Africa
 
Papa ni nani.
Halifa wa mtume Petro ambaye alisimikwa kuwa kiongozi wa Kanisa na baada ya hapo upo ushahidi wa viongozi kupokezana toka Petro alivyofariki hadi leo huyu! Shortly Yesu aliacha duniani visible church yaani kanisa lenye uongozi rasmi chini ya Petro akiongoza mitume wenzake 11.

Petro ni jina alilopewa na Yesu mwenyewe likiwa na maana ya mwamba/jiwe na ndio maana Yesu baadae anasema "wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu".

Tutaelewana tu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazua sintofahamu huko Italy wakati waumini wakitaka kuibusu Pete yake, huku yeye akirudisha mkono nyuma.

Kanisa katoliki linahitaji mageuzi makubwa ,mambo mengi yamepitwa na wakati.

Wachunguzi wa mambo wameendelea kutofautiana maoni juu ya kitendo hicho.
 
Leo Vatican imetangaza rasmi kwamba Papa Francis atembelea nchi tatu za Afrika Mashariki.

Ziara hiyo itafanyika Septemba mwaka huu na nchi atakazotembelea ni Mozambique, Madagascar na Mauritius.

Hii ni mara ya pili Papa Francis kutembelea eneo la Afrika Mashariki. Majuzi tu alitembelea Uganda na Kenya. Kumbe Papa Francis analipenda hili eneo la Afrika Mashariki.

Hii maana yake mapapa wanalipenda hili eneo. Mara ya kwanza Papa Paul VI alitembelea Uganda na akazindua Namugongo sehemu ambayo maraisi wa nchi hizo kukimbizana kupata umaarufu wa kupatembelea pale.

Mara nyingine Papa John Paul akatembelea Kenya. Tanzania ikatembelewa na Papa John Paul mwaka 1990 tu, tena wakati huo kArdinali Rugambwa anajiandaa kuondoka madarakani na ingeonekana Kardinali wa kwanza mwafrika anodoka madarakani bila Papa kukanyaga nchini mwake.

Hivyo, Uganda na Kenya zimetembelewa na Papa mara mbili. Tanzania ndiyo hiyo mara moja tu.

TAARIFA na JADILI:

SOURCE: Vatican:
Pope Visist to East Africa
Kumbe Mozambique na Moritus ni afrika mashariki!
 
Back
Top Bottom