Sasa nimeamini asali isiyochakachuliwa ni tiba murua kwa wanaume!

WanaJF hususan wanaume wenye majogoo yasiyopanda mitungi,<br />
<br />
Nataka niwatie moyo kwamba wanaweza kupona kwa kutumia asali pure isiyochakachuliwa. Nina ndugu yangu mmoja ana miaka miwili tangu aoe. Alikuwa anasumbuliwa sana na jogoo wake kiasi cha kumfanya akose raha. Katika pitapita yake mwaka jana mwezi wa Disemba alionana na mzee mmoja akamshauri aanze kulamba asali kwa kipimo cha vijiko vya chakula viwili asubuhi, mchana na jioni. Alimwambia atumie asali mbichi yaani isiyochakachuliwa na inayovunwa maeneo ambayo hayalimwi tumbaku. Pia alimwambia aendelee kulamba kwa mwezi mzima mfululizo kwa maana kwamba hata akisafiri lazima ahakikishe amebeba asali.<br />
<br />
Ndugu yangu huyo alizingatia ipasavyo masharti hayo na baada ya miezi miwili alimshangaza mkewe. Jogoo alianza kupanda mtungi kwa kasi iliyomshangaza mkewe na kumfanya ahisi amekunywa 'mkuyati'. Ajabu ni kwamba pamoja na kuacha kulamba asali jogoo mpaka sasa bado linaendeleza libeneke kisawasawa na ndoa ime-stabilize. Jamaa anasema amekuwa na kasi utadhani amebarehe jana! Wazee msio-perform mpo?
<br />
<br />
Mzee inaonekana kama ulikuwa unapiga chabo vileeee.
 
Ni hivi: Tabora ni mkoa unaozalisha asali nyingi hapa TZ lakini asali pia inapatikana mikoa mingi tu kama Lindi, Morogoro, Pwani, singida etc. Asali ni tiba ya magonjwa mengi sana kwa sababu nyuki hutumia 'necta' kutoka mimea mbalimbali. Asali bora /pure ni ile ambayo baada ya kurinwa kutoka kwenye mzinga inakuwa haijachemshwa (ndiyo maana wengine wanaiita mbichi). wanaochemsha asli wakati mwingine wanaiweka maji na pia ile chemical structure yake inakuwa affected hivyo kupunguza ubora wake.
Mh! hapa kama sielewielewi!!:noidea:? Navyojua mie pure asali mbichi huzalishwa Tabora, na Kilimo cha Tumbaku Tabora, sasa hiyo asali pure, na mbichi isiyotoka Tabora unataka itoke wapi!:noidea::noidea::noidea:?
 
Ni hivi: Tabora ni mkoa unaozalisha asali nyingi hapa TZ lakini asali pia inapatikana mikoa mingi tu kama Lindi, Morogoro, Pwani, singida etc. Asali ni tiba ya magonjwa mengi sana kwa sababu nyuki hutumia 'necta' kutoka mimea mbalimbali. Asali bora /pure ni ile ambayo baada ya kurinwa kutoka kwenye mzinga inakuwa haijachemshwa (ndiyo maana wengine wanaiita mbichi). wanaochemsha asli wakati mwingine wanaiweka maji na pia ile chemical structure yake inakuwa affected hivyo kupunguza ubora wake.
Kule kijijini kwetu manyuki yapo hata manyumbani, yaani asali bwelele, sio lazima tabora mkuu nafikiri mikoa mingi tu
 
mashari limangumu maana wanakolima tumbaku mmmmmmmmmmmmmm ni janga tujitahidi kufanya mazoezi na lishea asilia ni muhimu zaidi
 
Back
Top Bottom