kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,073
- 18,110
Ni baada ya Mwanajeshi wa Ufaransa kumuua Raia wa Chad hali iliyopelekea maandamano makubwa hivi sasa hali inayoendelea ni mbaya sana.
Tayari watu wameanza kuingia barabarani na baadhi ya Wabunge wameanza kupaza sauti kuwa kwa sasa wanajeshi wa Ufaransa wanapaswa kuondoka haraka Chad
Kweli nimeamini safari hii mfaransa kashikwa pabaya!!
Tayari watu wameanza kuingia barabarani na baadhi ya Wabunge wameanza kupaza sauti kuwa kwa sasa wanajeshi wa Ufaransa wanapaswa kuondoka haraka Chad
Kweli nimeamini safari hii mfaransa kashikwa pabaya!!