888I JF-Expert Member Joined May 16, 2024 Posts 445 Reaction score 553 Nov 24, 2025 #1 Kinachofanyika sasa naamini wengi walishasema ndiyo kitafanyika na sasa ndiyo kinafanyika Kila mmoja atajifanya anafanya kazi kufukuza watu kazi kusimamisha na kuigiza wapo upande wa wale walioumizwa wakati wao ndiyo waliwaumiza 🙂↕️🙂↕️
Kinachofanyika sasa naamini wengi walishasema ndiyo kitafanyika na sasa ndiyo kinafanyika Kila mmoja atajifanya anafanya kazi kufukuza watu kazi kusimamisha na kuigiza wapo upande wa wale walioumizwa wakati wao ndiyo waliwaumiza 🙂↕️🙂↕️
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,442 Reaction score 12,715 Nov 24, 2025 #2 Hii ni mbaya sana, ni mkali kuliko mama kimbo.