888I JF-Expert Member Joined May 16, 2024 Posts 462 Reaction score 576 Nov 24, 2025 #1 Kinachofanyika sasa naamini wengi walishasema ndiyo kitafanyika na sasa ndiyo kinafanyika Kila mmoja atajifanya anafanya kazi kufukuza watu kazi kusimamisha na kuigiza wapo upande wa wale walioumizwa wakati wao ndiyo waliwaumiza 🙂↕️🙂↕️
Kinachofanyika sasa naamini wengi walishasema ndiyo kitafanyika na sasa ndiyo kinafanyika Kila mmoja atajifanya anafanya kazi kufukuza watu kazi kusimamisha na kuigiza wapo upande wa wale walioumizwa wakati wao ndiyo waliwaumiza 🙂↕️🙂↕️
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 8,266 Reaction score 14,511 Nov 24, 2025 #2 Hii ni mbaya sana, ni mkali kuliko mama kimbo.