Baada ya kulazimisha ushindi, sasa analazimisha furaha, lakini moyoni hana raha wala amani.
State funded manipulators wanakuja kwa kasi na ni wengi sana, huyo Madenge ni kitangulizi tu, mara waseme wamelipwa, mara sijui nini, watakuja mpaka na risiti za kutengeneza, lakini wananchi washausoma mchezo mapema sana.
Baadae watakuja kujifanya wanakemeana ili waonekane kua wapo na wananchi, wataanza kutumbuana na kuhamishana vituo, hiyo yote ni kutafuta sympathy kwa wananchi, lakini itakua too late.
Kwa sasa siyo ile circle ya ulinzi wala mpishi anaaminika, lakini roho inasema kwisha habari yake.
Nani wa kulaumiwa, nani wa kutuhumiwa, yeye mwenyewe, yaani kifupi mshindi ndiyo target.
Kuiokoa nchi ya kusadikika isitumbukie shimoni, kafara imebaki yeye mwenyewe.
Waliopiga kura hawana amani, ambao hawakupiga kura hawana amani, na washindi ndiyo kabisa hawana amani.
Namba mbili mpaka sasa ni msafi pee, maana wakati yote yanatokea hakua na cheo wala wadhifa wowote, zaidi ya kua mgombea Mwenza.
Kwa sasa ndiye mwakilishi halali wa nchi popote pale, maana kwake yeye, doa analo bosi wake.
Kete zilisukumwa zikasukumika, akashauriwa hakushaurika, akasema anaonewa donge sababu ndiye mwanamke wa kwanza kutawala nchi ya kusadikika, kumbe alikua anapotezwa maboya.
Sasa maamuzi yote anayofanya sasa wala si yeye, yupo yupo tu, wahuni washamaliza game, kimebaki kivuli.
Namba mbili anaenda kuokota dodo kwenye mpera chapu kwa haraka, maana mwenyekiti bye bye.
Wameapa nchi haiwezi kutumbukia shimoni sababu ya mtu mmoja, bora atumbukie yeye.
Ni suala la muda tu, hakuna marefu yasiyo na mwisho, kwaheri Bi mkubwa, umekuwa wa kwanza kutawala na wa kwanza kuharibu, pole sana.
State funded manipulators wanakuja kwa kasi na ni wengi sana, huyo Madenge ni kitangulizi tu, mara waseme wamelipwa, mara sijui nini, watakuja mpaka na risiti za kutengeneza, lakini wananchi washausoma mchezo mapema sana.
Baadae watakuja kujifanya wanakemeana ili waonekane kua wapo na wananchi, wataanza kutumbuana na kuhamishana vituo, hiyo yote ni kutafuta sympathy kwa wananchi, lakini itakua too late.
Kwa sasa siyo ile circle ya ulinzi wala mpishi anaaminika, lakini roho inasema kwisha habari yake.
Nani wa kulaumiwa, nani wa kutuhumiwa, yeye mwenyewe, yaani kifupi mshindi ndiyo target.
Kuiokoa nchi ya kusadikika isitumbukie shimoni, kafara imebaki yeye mwenyewe.
Waliopiga kura hawana amani, ambao hawakupiga kura hawana amani, na washindi ndiyo kabisa hawana amani.
Namba mbili mpaka sasa ni msafi pee, maana wakati yote yanatokea hakua na cheo wala wadhifa wowote, zaidi ya kua mgombea Mwenza.
Kwa sasa ndiye mwakilishi halali wa nchi popote pale, maana kwake yeye, doa analo bosi wake.
Kete zilisukumwa zikasukumika, akashauriwa hakushaurika, akasema anaonewa donge sababu ndiye mwanamke wa kwanza kutawala nchi ya kusadikika, kumbe alikua anapotezwa maboya.
Sasa maamuzi yote anayofanya sasa wala si yeye, yupo yupo tu, wahuni washamaliza game, kimebaki kivuli.
Namba mbili anaenda kuokota dodo kwenye mpera chapu kwa haraka, maana mwenyekiti bye bye.
Wameapa nchi haiwezi kutumbukia shimoni sababu ya mtu mmoja, bora atumbukie yeye.
Ni suala la muda tu, hakuna marefu yasiyo na mwisho, kwaheri Bi mkubwa, umekuwa wa kwanza kutawala na wa kwanza kuharibu, pole sana.