Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,498
- 17,574
Raia feki ni wengi sana tzWatu wengine sijui kama ni raia wa Tanzania halali au mmekimbia vita kwenu.
Raia feki ni wengi sana tzWatu wengine sijui kama ni raia wa Tanzania halali au mmekimbia vita kwenu.
Hiyo ni yako tu.. Mimi nimeshamaliza kufikisja ujumbe. Mkuu wa Majeshi ni cho kikubwa sana.Umesema hivi.
"Watu wamelia na mkuu wa majeshi amelia"
Hii ina maanisha kuwa kuna watu wamelia,lkn kiumbe mwingine ambaye siyo mtu (mkuu wa majeshi mstaafu naye amelia).
Kwa hiyo hadi idi amini ni muongo maana zipo video anatangaza na kuongea kabisa kuhusu kuvamia kagera alikofanya na kusema anaweza kufagia hadi dar es salaam ...wewe utakuwa ni raia feki kutoka ugandaMkuu naelewa unachokisema lakini kaa ukijua kuna Sheria za privacy za kijeshi...Baba yako hawezi kukwambia kwamba Eti ukweli ulikuwa huu..
Hiyo ni sawa na kesi ya uhaini mkuu
Alikufa akiwa madarakani. Acheni kusifia mtu mjinga aliyeshindwa hata kwenda kutibiwa ulaya ati anapigana vita ya kiuchumi? Pumbavu unapigana vita na nani? Matokeo yake buruta peleka MZENAWamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.
Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya Nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgawo wa umeme tungekuwa tunausikia tu.
Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hela za umma ungekuwa mdogo sana.
Hadi 2030 tutasikia mengi.
Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mstaafu alilia.
Sawa mpagani nimekuelewaUtakuwa na ujinga wa kipaji, unadhani mtu asipokuwa mkristo basi automatically ni muisilamu! Tafuta takwimu ya kidunia uone wakristo ni wangapi, na waisilamu, kisha uje tuendelee na mjadala. Sio Kila mtu Yuko kifungoni kwenye hizo dini zenu.
SawaHakuna tatizo la kuombewa maana ndiyo kazi ya makuhani kuombea watu.
Ina maana wewe boya hukuwa Tamzania wakati wa Dikteta? Mbona hizo zote za akina Kabudi/ Mwanri/ Lugora za kumuita Magufuli mheshimiwa mungu zipo YouTube !!Ukiitwa mbele za Mungu utaweza kuthibitisha au unamfanyia mzaha Mungu?
Kwa hiyo Magufuli alikuwa shoga? Maana wanaopiga madole watu ni wasengeKwa chuki hii marehem alikufanya kitu mbaya inaonekana alikupiga kidole
Wewe si ndio ulisema Rais Samia alitangaza kifo cha Magufuli kuwa ni corona ila nilipotaka ushahidi ukaleta utoto? Haya nipe link nitizame hizo video maana naona wewe ndio haupo Tanzania ndio maana unaongea ambavyo havipo.Ina maana wewe boya hukuwa Tamzania wakati wa Dikteta? Mbona hizo zote za akina Kabudi/ Mwanri/ Lugora za kumuita Magufuli mheshimiwa mungu zipo YouTube !!
Una smart phone, una bando ingia utazikuta, wacha upimbi
So what, Nyerere alienda ulaya, akarudi kwenye jenezaAlikufa akiwa madarakani. Acheni kusifia mtu mjinga aliyeshindwa hata kwenda kutibiwa ulaya ati anapigana vita ya kiuchumi? Pumbavu unapigana vita na nani? Matokeo yake buruta peleka MZENA
Treasury bills ni za central bank tu. China haiwezi kuuza Treasury bills kwa outside country. Lengo la Treasury bills ni kukocontrol inflation. Marekani kupitia federal reserve haiwezi kuuza Treasury bills kwa outside country
Ikikuuma chomoaKwa hiyo!!!
We ndo mjinga kabisa.Hayo ni mabadiliko ya kawaida ya tekinologia unadhani hata asingeruhusu Tanzania ingekuwa vile vile?????
Mtoto tu anazaliwa hajui chochote anaanza kutambaa na badae anatembea
Acheni sifa za kijinga
Ajabu sana .Kagoma kufa? umeonana nae akiwa anahangaika kufa au?
Kwenye record,jina la magufuli ndilo jina linaloandikwa sana kwenye mitandao ya kijaminii,pili,hotuba za jpm ndizo hotuba zinazotizamwa na kusikilizwa sana kuliko hotuba za kiongozi mwingine Tanzania na afrika nzima.Acha kumlinganisha Nyerere na vitu vya kipumbavu.
Achana na hiyo juha.utapoteza mda wako bure.Nimeliganisha wapi?