USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Ilikuwa jambo la muda tu kugeukana maana wanafiki siku zote muda huwaumbua ,
Walijikusanya wakapanga wakatekeleza kisha wakatoka huko walipo wakatangaza kifo cha jpm na kuamua kufunika yote mazuri aliyoyafanya.
Eti waliungana kulinda demokrasia ya nchi, uhuru, utawala bora, utawala wa sheria, kufungua nchi kwa kilicho itwa eti MARIDHIANO kiko wapi Mungu amewabua wamegawanyika katika njia saba.
Rais Samia akasema "hakukuwa na nidhamu wakati wa utawala wa Magufuli bali li simba la Yuda linawakoromea ".
Tukaambiwa lisu ,lema , ngurumo,manji na wengine wanakuja kuishi Tanzania kwa kuwa sasa hakuna misuguano na Magufuli maana tayari amesha kufa.
Akaja Nape akasema kwa sasa "nchi imetulia Mungu ameamua ugomvi"
Mnafki mpe muda tu
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Walijikusanya wakapanga wakatekeleza kisha wakatoka huko walipo wakatangaza kifo cha jpm na kuamua kufunika yote mazuri aliyoyafanya.
Eti waliungana kulinda demokrasia ya nchi, uhuru, utawala bora, utawala wa sheria, kufungua nchi kwa kilicho itwa eti MARIDHIANO kiko wapi Mungu amewabua wamegawanyika katika njia saba.
Rais Samia akasema "hakukuwa na nidhamu wakati wa utawala wa Magufuli bali li simba la Yuda linawakoromea ".
Tukaambiwa lisu ,lema , ngurumo,manji na wengine wanakuja kuishi Tanzania kwa kuwa sasa hakuna misuguano na Magufuli maana tayari amesha kufa.
Akaja Nape akasema kwa sasa "nchi imetulia Mungu ameamua ugomvi"
Mnafki mpe muda tu
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app