KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,625
- 1,885
Soma hapa itakusaidiaKifo chema Cha kufia mbele ya viongozi wa dini? Acha vichekesho bana.
Yakobo 5:14-15
Neno: Bibilia Takatifu
14 Je, kuna mtu miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi awaite wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka mafuta katika jina la Bwana. 15 Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa huyo na Bwana atamwinua. Kama ametenda dhambi, atasamehewa.