Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

Sadlady

Member
Joined
Apr 8, 2014
Posts
21
Reaction score
10
.........A......
mabingwa wa MMU

Wababa wamama na wadogo zangu msishangae naingia na ID mpya kwa sababu ya unyeti wa jambo lenyewe please mnielewe. niko njia panda na kama nisipopata mwelekeo sijui itakuwavipi.. labda nielezee kisa kizima ntajitahidi kufichaficha baadhi ya vitu kama kawaida yetu.. cha ajabu mtu anaweza kuccoment "weka picha...!"

baada ya kumaliza darasa la saba nilitimka kijijini nikaja mkoa flan, katika harakati za kutafuta kazi yoyote nikajibanza kwa mama mmoja ambaye ni ndugu wa mbali na wazazi wangu. hapo tulikuwa wasichana kama watatu. mdogo wake, mimi na msichana mwingine aliye kaa nae kama Housemaid. hayakuwa maisha ya kawaida, tulipelekeshwa kama mbuzi saa kumi na moja mko on na shughuli nyingine ni balaa hadi usiku. lakini Yule Mume wake akatulazimisha wote watatu kwenda shule sekondary. hakujali chochote. tulisoma kwa taabu lakini iaka minne sio mingi tukamaliza tukiibuka na ufaulu mbaya kabisa sisemi. Mumewe alikuwa na duka kubwa la spea, baada ya kitu kama miezi mitatu wakafungua tawi la Duka maeneo mengine hapo hapo mkoa. na hapo ndipo nili[popata promotion ya kuwekwa kama muuzaji. ni promotion kwa sababu ilinitenga na matusi, mateso na karaha za yule mama kutwa kucha.

kwa hakika kazi niliifanya kwa bidii sana nikizingatia kazi ikifa narudia msoto wa nyumbani. na duka lilipata mafanikio kila siku. kwa muda wa Mwaka mmoja duka lilijaa sana na kunawiri kuliko hata lile lao ambalo by that time lilionekana liko mjini centre. sikufaham kwamba kunawiri kwa Duka kulienda sambamba na kunawiry my-body. kila nikipita kwa kweli mimtu iligeukageuka sana. mtu wez jua bana mambo haya. unajua tena mtu ukishajijua kwamba kuna viumbe unawasumbua basi ndo unaongezea manjonjo.. manjonjo na kachumbari ziliniletea balaa jingine Home. nikasikia minong'ono kwamba mama wa Nyumba anarap natembea na mume wake. Niliidharau nikachapa zangu kazi lakini siku zilivyosonga balaa na balaa zikazidi kuibuka. mwanamke akimlazimisha mume wake anitoe dukani haraka mume akatia ngumu. ugomvi kila siku. Kwa upande wa pili hata wale wasichana wenzangu home walinufaika sana na kazi yangu maana uongo mia mbili tatu hawakuzikosa. hiki nacho kilimchanganya mama mwenye nyumba sijui alitaka tuishi kama kuku au nini.

........B..............
siku Moja jioni tukifunga mahesabu nikiwa na baba (maana ilikuwa ni kawaida yake akitoka mjini hupitia hapo kuchukua mauzo ya siku) walivamia vijana kama kumi wakiwa na marungu, mapanga na kututeka, wakamjeruhi baba kwa mapanga na kukwiba mauzo ya siku ile yale yangu pamoja na yale ya mjini wakaodoka. mie niliogopa sana nilikuwa kama mfu vile, nilinaswa vibao kadhaa lakini sikujeruhiwa kama baba. watu walijaa wakamchukua baba hospitalini nikafunga duka nami kwenda hospitalini. mama alifahamishwa naye akaja speed na mapolisi hospitalini na kuanza kuniporomoshea matusi kwamba nimechora mpango wote wa ujambazi. mapolisi wakanibeba hadi kwenye karandinga huyoo kituoni. iliniuma sana. baada ya kuandika maelezo nikatupwa selo.

kesho yake nikamwona mama yule anaingia kituoni na kutoka. maadae nikaitwa na mkuu wa kitengo cha uchunguzi. akaniuliza maswalimaswali mengi kuhusu mimi binafsi na biashara. akiwa anaandika andika. Nilimwona from that point mimatemate ya uchu ikimtoka. kila akiongea anainua kalamu yake na kugonga chuchu zangu ambazo wakati huo zilikuwa zimesimama kama embe bolibo lililo ivia mtini.sema tu mtu hujioni nilifungashia. akaropoka, "Wewe bint mzuri kwanini unatembea na baba mwenye nyumba wako?" nilishangaa sana kwa swali lile nikajua ni yule mama tu kaja kuweka sumu zake. nikajitetea from point z kwamba mie sitembei nae. hakuniamini kabisa, akaniambia ataniachia leo, lakini kesho niwahi hapo kituoni mapema sana. nilifurahi sana, nikapewa vitu vyangu huyoo hom. kufika hom nikamkuta mama mbogo, akanitupia begi nje na kunitimua hataki kukaa na majambazi.

nikaenda kwa majirani wakanisetiri nikaoga na kupumzika, kesho yake nikawahi kituoni. yule mkuu akaniambia kwa ukubwa wa kesi yangu naweza kufungwa miaka mingi ni vema niongee naye kwa undani zaidi. sikujua maana ya neno lile kuongea kwa undani nikajibu tu niko tayari kuongea kwa undani wote nijuavyo ,mana sihusiki kwa lolote. akaniambia twende mahali tukaongee, akaniambia niondoke tukutane mahali flani. kweli muda wa mchani tukakutana mahali kwenye faragha na chakula kikaja tukala. nikawa nasubiri mazungumzo hayo ya undani zaidi yaanze. baadae mhudumu mmoja akaja akamwambia 'mkuu tayari" sikujua tayari nini nikaamini labda tayari tuanze kuzungumza. akaniambia tuondoke hapo tukaongelee kwa ndani. tukatoka hapo haoo he.. naona tunaingia chumbani, mlangu ukafungwa, mmmm! nikajiuliza maongezi gani haya. akanivuta mkono hadi kitandani tukakaa. nikamwambia tuanze hayo mazungumzo basi. huyo akatoa bastola mfukoni.."maisha yangu yote sijawahi ona bunduki, ndo mara yangu ya kwanza kuoona kitu hiyo. nikamuuliza hiyo ni nini akajibu bastola, nikaogopa sana naskiaga tu pa! pa! mtu kafa ukiuliza kapigwa bastola kumbe iko hivyo. nikatetemeka sana mwili wote. nikamuuliza ya nini sasa, akasema hiyo ni yake tu ya kutembelea nisiwe na wasiwasi..

..................INAENDELEA HAPA..................
 
........C...............
nikiwa na kihoro cha kutetemeka mikono yake akairushia kifuani, nikamkataza ila akendelea akiniambia nisijali ingawa kesi ni mbaya sana kwangu lakini yeye atafanya mambo yote sawa. akanishikashika sana kisha huyo akaondoa top nikamuwambia no..no..! mie hapa nimekuja tuzungumze sio hivi.. akawa mkali kidogo, yaani unadhani tumekuja humu kuimba kwaya?, unavyompa baba wa nyumba na mimi nipe ivyo ivyo. nikamwambia mie sijawahi kufanya .. akacheka saana, akanambia maneno ya kijinga nisimletee yeye, binti mkubwa hivyo awe bikra.. nikamwambia mie ni bikra .. akacheka sana, akatoa bra.. akaanza kunyonya matiti nikalia sana, nikamwambia aniache kwa sababu mie sijafanya.. kisha akaweka akili ananambia kama ni kweli sijawahi sex basi atanitomasa tomasa tuu na kuniacha. nikawa mjinga nikamkubalia tu ili kesi iishe. akanilaza polepole kitandani kama mtoto mdogo. akaanza polepole kunyonya nyunya matiti.. mh! nikastuka, kama kuna umeme ulianza kutembea mwilini, akanyonya akanyonya mikono yake akaipeleka kufumba na kufumua hana shati.. sikufahamu vipi alivyolishusha gauni nikabaki na chupi tu na yeye mtupu. nikaogopa kumwangalie mtu mzima akiwa mtupu nikafumba macho. nikamwomba asitoe chupi naye hakukataa. akalala chini na kunilaza juu yake, nywele za kifuani kwake na mazingira yale anavyonipapasa mgongo nilichanganyiikiwa. ingawa nililalia kitu yake ambayo ilikuwa ni ngumu sana nikaomba mambo haya yaishe tyu hiyo dude yake isiingie kwangu,

akaipeleka mikono yake hodi hadi ndani ya chupi, akayashika ------.. hapo nakiri network yangu ilikatika kwa mara ya kwanza nilijikuta napiga kelele kama chizi kwa furaha nikajisahau kwamba kuna kesi mbele yangu mda ule alishaitoa siku nyingi chup na kunigeuza, akaingiza vidole kunako nanii kwa kweli nilishakuwa chizi nikawa najinyonganyonga kama nyoka sijui nikipiga vikelele vikubwa tu.. sikujua saa ngapi keshaingia, nakumbuka maumivu flan niliyapata kamaliza niko hoi usingizi. ukichukulia selo sikulala, na kule kwa jirani ni kama kujibanza nilichapa usingizi hasa. saa kumi jioni nikastuka. niko alone kitandani. nikahisi maumivu chini. kuangalia damu imetapakaa hadi nyingne imekauka. nikawaza tukio lote nikajitia moyo.. yote maisha. mlango ukagonjwa akaingia mhudumu."kasema nije nikwambie ametoka kidogo umngoje atarudi lakini amesema nitoe mashuka yote nikayashughuklikie nikubadilishie chumba" nikaoga na kubadilishiwa chumba, nikaletewa supu ya kuku safi nikala na kujipumzisha. jioni kweli akaja akaniletea begi langu sijui alilipataje kule nyumbani, akaniletea na baadhi ya vitu. akanipa pole na kunambia kumbe kweli mimi ni mkweli nilikuwa bikra so angependa niwe mpenzi wake. nikamsikilza tu, akanambia ntakuwa hapo kwa Muda maaana yeye anasafiri. akaondoka. nilikaa hapo wiki mbili wakinihudumia kila kitu. baada ya wiki mbili alirudi hapo na siku hiyo eti mimi mwenyewe nikamwomba anipe kamchezo kama ka siku ile, aisee kitu mbaya hii naye akasema ana usongo nako akanipelekea tena that day usiku kucha. sikusikia pain tena. sure i found loving a man by first time.


.......D......

Tulikaa hapo kama mwezi nikapata taarifa ya msiba Hom. nikaenda bahati mbaya nikakaa kama mwezi hivi. huko kijijini kuna vijana wa huko waliniparukia parukia na vihela vyao vya kuuza mazao. naona si mbaya nao wavionje vigeni.lakini walikuwa kero tupu, mijitu inanuka, mijutu iko pupapupa ah.. nikarudi tena mjini. nilipofika pale gest-house nikaambiwa kwamba yule mwenyeji wangu ameacha ujumbe nimpigie cm. sure nikapiga simu akanambia amehamishiwa Jijini dar so nimfuate huko. nikafanya arrangement zangu ndipo mara ya kwanza nikatua kwenye hili jiji wakati huo kila kona nasikia makamba-makamba. akanipangishia chumba maeneo flani ya mji na kuniwekea kila kitu. kwa upepelezi wangu nikagundua ana mke na wanawake, na kwa mkewe hakubahatika kupata mtoto sijui kwa hao wanawake wengine. anyway sikujali mimi nilijali ya kwangu tu.

nikamwomba nivutevute shule sure akanilipia mahali nikavuta shule miaka mitatu na kupata diploma nzuri tu baadae nikavuta advance ya IT nikapeta vizuri tu hela ipo, maisha yamenyoka na elimu kwanini isinyooke. kwa uzuri ule ukaongezeka zaidi, kwa adabu niliyo kuwa nayo kwa majirani hasa mama mwenye nyumba alipenda kila siku kunambia juu ya 'Ngoma' kwamba hapa mjini ngoma (ukimwi) hauuzwi uko kila sehemu ni lazima nitumia condom. maneno yake sikuyaelewa sana kwa sababu sikuwa na taim na mtu yeyote zaidi ya 'njagu' wangu. lakini wakati namaliza adv diploma ya IT kuna mjamaa alinisumbua sana pamoja na lecturer. nikaona nikate kiu zao na nijue matumizi ya condom. kweli tulliarrange na yule mwanachuo mwenzangu akanipeleka mahali .. sikutarajia kukutana na kero kama siku hiyo.. nikajiapiza sitaki mtu tena, kelo za mwalimu wangu nazo zilizidi nakaona nae nimwonjeshe nione labda ana cha zaidi nako nikakutana na usumbufu ule ule nikajua hakuna zaidi ya njagu wangu.
..................................INAENDELEA HAPA..............................
 
Hapa najiuliza id yako ya siku zote ni ipi? Halafu eti 'umefanywa'. Hujui hata lugha ya kujiheshimu?
ukiongea kabla ya kujua mwisho wa neno huwezi kuwa mshauri mzuri the boss
 
Hapa najiuliza id yako ya siku zote ni ipi? Halafu eti 'umefanywa'. Hujui hata lugha ya kujiheshimu? Shigongo mwingine?

halafu hii kitu ndo niliikataa.. unataka kujua id yangu ya kwanza?? so what??!! .. kwanini sikuitumia hapa kama ningetaka.. this is not an empty story ni fact ya situation yangu that's why mkijua mtanisonga sana.. enewei ukitaka meza usipotaka tema..
 
E...................

Yule mama hakuacha kuniasa sana juu ya ngoma, hadi ikawa kero kwamba kila nikikaa nae hatumalizi mazungumzo bila kuongelea kitu kuhusu ngoma, akaniambia huyo jamaa anaye niweka hapo kama ana mke basi lazima ana wanawake wengine wengi so kama mmoja ameambukizwa basi wote sisi tuko kwenye hatari.

maneno yake yalinistua nikaanza kumhoji sana yeye binafsi kwa mara ya kwanza alinistua aliponiambia mume wake alikufa kwa ngoma.. he.. zaidi tena akanistua kwamba hata yeye ni muathirika ingawa anaonekana ana afya. huwezi jua nilistuka kiasi gani. niliogopa sana he kumbe huyu mma naongea naye klila siku kumbe ni muathirika. nakumbuka jirani yetu kule mkoa wapangaji wote waliondoka nyumbani kwake kwa sababu ilisadikiwa alimpangisha mtu mwenye ngoma. na katika maisha yangu niliomba hata nisije kutana na mtu mwenye ngoma kumbe mama huyu ana ngoma. usiku huo hata sikulala.

kesho yake njagu wangu alipokuja wala hakuinjoi kama siku zote, akauliza sana naumwa.. no.. nina shida yoyote.. no.. akanibembeleza nimwambie nina nini.. nikamwambia naomba kuanzia leo tuwe tunatumia condom.. unajua alikasirika sana.. akanitandika kibao kwa mara ya kwanza nikaona nyotanyota nikaogopa sana. nikaona tena anatoa bastola akaiweka mezani niliogopa zaidi, akaniambia nimwambie maneno hayo nimeyatoa wapi kama sina mwanaume.. akaninyuka tena.. ikabidi nimwambie ukweli kwamba naogopa kama yeye ana wanawake wengi tutaambukizana kwa sababu hata mama mwenye nyumba ana ngoma.. alikasirika sana akaondoka..

wiki zima hakutokea, nikipiga cm hapokei, baada ya wiki nikamwona kaja na lory, kachukua kila kitu ndipo akanihamishia huku niliko sasa, mjini, nyumba nzima, majirani zangu wote wahindi.. akanunua fanicha zaidi na kuijaza nyumba. akaniambia anafanya hivyo kwa sababu anataka anioe. nikamwambia mbona ana mke wake wa ndoa.. akakasirika tena na nikabeba kibao kingine.. da nikaona kama tabia ya kubebeshana vibao imeanza. maisha kwa jumla yake yalibadilika, sio njagu wangu wa zamani wa kubembeleza, siku hizi ni mkong'oto tu, kama sio kibao ni keleb, na lazima cha kwanza ashike cm yangu na kupigia namba zote anazozihofia. akawa haniamini tena, maisha yakanigeuka mie, kuna baadhi ya mmu walinipm namba zao na yeye ameshawapigia kwa ukali na amri tafadhali mmu mnihifadhie id yangu mkiona post hii chondechonde.

akili mkichwa, nikaona kama maisha yamegeuka hivi wacha niangalie ustaarabu mwingine, manake baada ya kumaliza shule nilimwomba nitafute kazi akakataa na mara zote napomwoomba nitafute kazi hukasirika sana. anasema kama pesa na kila kitu si napata kazi ya nini. nikaanza process za kutafuta kazi. nakaona kazi flan kwenye gazeti nikachukua lalamu na kuanza kuandika rough ili niichape kwenye laptop yangu. uzuri yeye anajua cm tu laptop hata kufungua hajui. yeye na computer mbali-mbali hajui chochote maskini ya mungu. wakati nachorachora nikaenda jikoni kuanzaa msosi bahati mbaya akaingia, direct hadi mezani na kuikuta barua ile ya kuomba ajira.. akaniita kwa upole kabisa na kuniuliza sababu ya kuomba kazi. nikamjibu nikitetemeka nimeona tu niombe. akaniambia kama kazi yeye keshanipatia umoja wa Mataifa nimpe vyeti vyote vya shule hadi kuzaliwa awapelekee.

huyo nikakurupuka na kummwagia vyeti vyote original akavichukua na kuvipiga kiberiti vyote mbele yangu. nililia nikiduwaa. akaniambia kuanzia siku hiyo hata kutoka pale bila ruhusa mwisho.nilijutaje..ham ya kukutana naye ikaisha yaano hofu ilitawala mtindo mmoja. kipigo kilipozidi siku moja mjumbe wa nyumba zetu baba mmoja wa kihindi akashtaki kwa balozi wetu. yule bwana akaitwa kwanini ananipiga sana. huwezi amini kwa balozi aliwafokea kama watoto akawaambia tena wasijihusishe kwenye mambo yake yeye la sivyo atawachongea watimuliwe nchini kwa sababu yeye ndio seriklkali na serikali ni yeye akaondoka. wahindi wale waliogopa wakaniacha alone. nilipitia wakati mgumu hadi uzuri ukaanza kufifia.


........................F..............

akapata safari, sijui alikwenda wapi kwa wiki tatu, cha ajabu those weeks akawa na ubinaadam wa ajabu, anachat na kupiga cm na kuongwea sweet things kama zamani. nikashukuru mola njagu wangu mashetwani yamemkimbia. akaniambia the way anavyonimiss, akaniambia soon atakuja. wiki tatu nikamngojea kwa ham nikajua probably atanifanyia kama zamani niinjoi tena. but within the time hayupo nikawa nimepata fans wengi fb na humu mmu tukawa tunachat sms down night tena kwa cm na namba nyingine kabisaa. but all ilikuwa ni kutafuta refreshment to kujipoza na kipigo cha njagu.

siku moja baada ya kuongea naye akasema atakuja baada ya siku tatu, nikawa nachat sms na fans tu wa fb kwenye cm hata hatujuani bac tu. ngafla mlango unafunguliwa ilikuwa kama saa mbili usiku anaingia njagu. je nikamwambia baby upo si ulisema after three days ndo unarudi, hakunijibu direct akanipokonya cm na kukodolea sms. wandugu mnajua kupigwa nilinyukwa aisee nikaponyoka na kutimkia kwa yule mjumbe wa nyumba zetu. na yeye akawasha gari na kuondoka zake. yule mjumbe akamwita mwanae mkubwa ambaye alikaa mbali na hapo. yule mwanae akaja na mkewe. wakaongea mara kiingereza mara kikwao. mazungumzo yao ilionekana kama wameshapanga siku nyingi, kwanini yule mwanaume anipige kila siku na kuwatishia wao, yule kijana akasema kama hela wao wanazo zaidi, watafikishana mbali sana hakuna kutishiana.. basi jioni hiyo wakasema kama nikilala hapo anaweza kuja tena wakanichukua yule mtoto mkubwa wa yule mzee mhindi wakanipeleka kwao ili kesho wote twende kwa balozi liwalo na liwe. kule kwa yeye na mke wake wakanihudumia vizuri sana, wakanipa dawa za maumivu, nikaoga wakanitandikia godoro chini. basi yeye na mke wake wakawa wakininurse majeraha kidogo kwa kweli kwa huduma zao maumivu yalikoma lakini nilitamani tu waendelee kunihudumia hivyo nikawa naendelea kudeka kwa kujiliza liza ili wawe sympathies zaid.

mkewe alionekana kuchoka sana akaenda jikoni akaleta maji ya moyo, beseni na taulo, mumewe akawa ananikanda uso.. mkewe akaelekea chumbani najua alilala kwa maana alionekana kusinziasinzia.

yule mume waka akanikandakanda polepole usoni , shingoni kifuani kwa juu aisee nikaanza kusikia raha raha nikafumba macho nikijilizaliza, yule baba akaniambia 'would you mind if i open this chest..!' nikamjibu nikilialia 'its ok" he akaenelea kunikanda akifungua kifua huyoo mwisho akakifungua kabisa.. my-god.. nikawa nafungua macho nikijilizaliza namwangalia kwa uchu anavyokodole matiti, he akaanza kuyakanda.. mie sikwambii ilikuwaje.. wiki tatu nina usongo na njagu wangu anafika anakushushia kipondo kisha anatokea mwanaume mwingine anakunanihii.. mwache baba wa watu aendelee mwache... kweli akaendelea, huyo tumboni kwa sababu nilipiga kanga moja tu. akaniambia nigeuke nilale kifudifudi. nikageuka huku nikiendelea kujiliza.


......................G..........

baada ya Kijilaza kifudifudi akaanza kuukanda mgongo, akaukanda huyo akishuka akapembua kanga, nikamwona kama amestop nikajua kakutana na vichuguu viwili ndivyo vimemtia wazimu mhindi huyu. kweli nikaona mikono yake kama inatetemeka ikiyapapasa makalio kama kawaida network yangu ikakata nikawa najiliza zaidi he ..

akachukua taulo na kuanza kuyakanda aisee sijui raha ilitokea wapi hii sijawahi iona nikamwachia kila kitu afanye ajuavyo kwa mgongano nilio usikia nikajua hapo hana chochote mwilini manake nilihisi mgongano wa nanii yake ikigongangonga maeneo kama dereva aliyekatikiwa usukani. huyo akaanza tena taratibu kukanda mgongo huku nahisi kuna kitu kinaniingia, nikaachia zaidi nae "AKANIFANYA' SIKUPATA RAHA KWA MUDA MREFU AS THAT DAY.. as normal alipomaliza akaondoka nikachapa usingizi.

Kesho yake yeye na mkewe walinirudisha Hom, mkewe hakujua what happen hata mimi niliakti kama hakuna kitu usiku kimetokea na yeye akawa solid vile vile. yeye , baba yake na wezee wengine wawili tukaelekea kwa balozi na akapigiwa simu lakini kwa jeuri alikataa kuja. basi haikuwa rahisi hivyo kwa sababu alikutana na watu akaongea matisho nao wakongea matisho vilevile. wanaume wakapambana. kisha tukarudi.

from that day hapigi, anakuja tuu anakula, anafanya anaondoka, haonyeshi furaha wala huzuni yupo yupo tu. nikajua kumbe mwanaume mbabe kiboko yake mwanaume mbabe vilevile. maisha yameendelea kwa miezi miwili sasa, nikawa nawaza nifanye mchakato nitafute vyeti vyangu.. siku moja nawasiliana na watu kufanya mchakato wa vyeti nikapoteza nguvu kabisa, nikapiga yowe majirani wakaniwahisha hospitali.

waliponicheki wakasema labda ni maralia nikarudi hom. ila nikawa naendelea kujisikia vibaya vibaya na baada ya kupima zaidi.. ni MJAMZITOOO... MMMMMMM..mmm. wa miezi miwili plus.. hakuna swali, hakuna maoni, hakuna kujiuliza mimba si ya mwingine bali ni mhindi yule.. jambo hili ndilo lililonichanganya sana sana saaana. yule njagu kwa upepelezi wangu hata wanawake wengine hana mtoto possibly si lolote. sasa nikimwambia ni mjamzito mmmmmmm aisee.. hata kama nikijiapiza sijakutana na mwanaume yeyote sasa kitachozaliwa ntabaki mie.. niko njia panda tena panda sana. sina mtu yeyote humu jijini nayemjua..

sina kazi, vyeti vishachomwa, kula kunywa kuvaa, kulala, kuoga ni njagu.. na kama akijua ukweli kwa kichwa chake yule possibly wote tutabeba risasi manake ananiambiaga yeye kuua ni kama mchezo tu.. kama kuna GT humu mmu embu nieleze uelekeo manake mimba soon itachomozea na atajua tu.. aiseee.

asante na pole kwa kunisikiliza.
Mwisho.
 
Tusimfanyie vurugu tumwache amalizie kwanza. Sadlady endelea
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom