Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,658
faida yake ni nini? Hela walizokwapua zitarudi?
Safi sana AMRI ya JK ni kama moto wa jangwa husambaa haraka na husafisha eno vizuri
WANABODI WOTE KIMENUKA
Imetoka oder kutoka mamlaka juu kuwa mawazir na manaibu wote waondoe plate number za mawaziri na manaibu mawaziri kwenye magari na waweke zile za STK na hakuna kupeperusha Bendera ya Taifa kwenye Magari.
Hapa Nipo jimboni Mwanga Maghembe ameanza kutumia gari yake Prado T 206 AZY. Gari la wizara naona limepaki Mwanga Motel anapolala Dereva. Yeye kaenda Usangi na Prado lake na Dereva wa Mkewe
Chanzo: mimi Mwenyewe na Dereva wa serikali anayemuendesha Maghembe
Sijaelewa kutoa hizo namba W/NW na kuweka STK inamaanisha nini? Ina maana si mawaziri tena au namna gani?
Safi sana AMRI ya JK ni kama moto wa jangwa husambaa haraka na husafisha eno vizuri
Chanzo: mimi Mwenyewe na Dereva wa serikali anayemuendesha Maghembe
WANABODI WOTE KIMENUKA
Imetoka oder kutoka mamlaka juu kuwa mawazir na manaibu wote waondoe plate number za mawaziri na manaibu mawaziri kwenye magari na waweke zile za STK na hakuna kupeperusha Bendera ya Taifa kwenye Magari.
Hapa Nipo jimboni Mwanga Maghembe ameanza kutumia gari yake Prado T 206 AZY. Gari la wizara naona limepaki Mwanga Motel anapolala Dereva. Yeye kaenda Usangi na Prado lake na Dereva wa Mkewe
Chanzo: mimi Mwenyewe na Dereva wa serikali anayemuendesha Maghembe
jamani watu kama huyu ndiyo mtaji wa ccm..!!safi sana amri ya jk ni kama moto wa jangwa husambaa haraka na husafisha eno vizuri
snema ya maninja wa kimakondeduh, haya mazingaombwe naona bado yanaendelea sasa!
it has been there tangu kitambo labda hukuwahi kuona,si agizo kama ulivyosemaWANABODI WOTE KIMENUKA
Imetoka oder kutoka mamlaka juu kuwa mawazir na manaibu wote waondoe plate number za mawaziri na manaibu mawaziri kwenye magari na waweke zile za STK na hakuna kupeperusha Bendera ya Taifa kwenye Magari.
Hapa Nipo jimboni Mwanga Maghembe ameanza kutumia gari yake Prado T 206 AZY. Gari la wizara naona limepaki Mwanga Motel anapolala Dereva. Yeye kaenda Usangi na Prado lake na Dereva wa Mkewe
Chanzo: mimi Mwenyewe na Dereva wa serikali anayemuendesha Maghembe