Sasa ni Dhahiri: Bandari yakumbwa na Uhaba wa Mizigo

idoyo

JF-Expert Member
Jan 13, 2013
3,050
1,401
Katika barua ya TPA kwenda kwa waendeshaji wa bandari kavu (ICD), inaelezwa kuwa watasimamisha 'vehicle allocation' kwa kuwa mizigo (ikiwemo magari) imepungua (decline) sana bandarini. Poleni sana ICDs, na vijana wote mlioajiriwa au kujiajiri humo. Labda mizigo itaongezeka baadaye!

=============

img-20160726-wa0003-jpg.371081

img-20160726-wa0005-jpg.371082

img-20160726-wa0006-jpg.371083
 

Attachments

  • IMG-20160726-WA0003.jpg
    IMG-20160726-WA0003.jpg
    50 KB · Views: 258
  • IMG-20160726-WA0005.jpg
    IMG-20160726-WA0005.jpg
    97.2 KB · Views: 243
  • IMG-20160726-WA0006.jpg
    IMG-20160726-WA0006.jpg
    63.3 KB · Views: 249
Katika barua ya TPA kwenda kwa waendeshaji wa bandari kavu (ICD), inaelezwa kuwa watasimamisha 'vehicle allocation' kwa kuwa mizigo (ikiwemo magari) imepungua (decline) sana bandarini. Poleni sana ICDs, na vijana wote mlioajiriwa au kujiajiri humo. Labda mizigo itaongezeka baadaye!

Kitu cha Muhimu ni kuwa mapato yameongezeka...
Hatuhitaji mizigo mingi isiyokuwa na tija kwa taifa
 
Kitu cha Muhimu ni kuwa mapato yameongezeka...
Hatuhitaji mizigo mingi isiyokuwa na tija kwa taifa
mapato yataongezeka vip wakati bandari inahema kama chura,jamaa anakusanya madeni ya kodi anasema mapato yameongezeka.hivi wewe nikuulize ukilipwa madeni yako unayodai utasema kipato chako kimeongezeka, umeona hata kuongeza mishahara ya watumishi wake kashindwa ,kuajiri watumishi wapya kashindwa ,sasa anaweza nini
 
mapato yataongezeka vip wakati bandari inahema kama chura,jamaa anakusanya madeni ya kodi anasema mapato yameongezeka.hivi wewe nikuulize ukilipwa madeni yako unayodai utasema kipato chako kimeongezeka, umeona hata kuongeza mishahara ya watumishi wake kashindwa ,kuajiri watumishi wapya kashindwa ,sasa anaweza nini

Endelea kulia lia tuu maana zama zenu za kuinyonya hii nchi zimeshakwisha. Jipange kivingine bro, kulalama lalama huku jamii forum hakutokusaidia, Utaumbuka mjini mzazi. Kaanzishe mashamba ya matikiti kimbiji, yanalipa sana pia.
 
Mh! kuishi kwingi ni kuhatarisha afya tu, sasa hali hii ni kutiana msongo wa mawazo na kufa gafla. Sasa kuna haja ya kuendelea na ujenzi wa ile ya bagamoyo kweli?

hahaha!!! labda mizigo itaongezeka tena. tusikate tamaa
 
Katika barua ya TPA kwenda kwa waendeshaji wa bandari kavu (ICD), inaelezwa kuwa watasimamisha 'vehicle allocation' kwa kuwa mizigo (ikiwemo magari) imepungua (decline) sana bandarini. Poleni sana ICDs, na vijana wote mlioajiriwa au kujiajiri humo. Labda mizigo itaongezeka baadaye!
Nani amekwambia tunahitaji mizigo mingi isiyo na tija kwa taifa?
 
Back
Top Bottom