Sasa napata majibu ya yeye kupiga simu Clouds na kusema anapenda SHILAWADU

Utawala ukifitinika hukosa baraka,the end justify the means!!

Kutawaliwa miaka 10 itakuwa deni kwa Mungu kuwa siku ya kiyama atuingize tu peponi!!

'Mwafaaaa,mtaishi kama mashetani,mimi natumbua tu,sirikali haitoi rambirambi za tetemeko kwani haikulileta,mnataka chakula-niwapikie kwani mama yenu mimi?!
 
Mkuu alipiga sim ile kwa maono....kwanza hili la gwajima tayari lilisha andaliwa so akafanya vile kuipa promo shilawadu ili watu wengi waanze kuangalia kipindi icho.
walikua na target yy na mwanae.
Mkuu, upo sahihi kabisa... Walikuwa wanatuandaa wananchi tuangalie Shilawadu siku hiyo ili tujionee upuuzi waliouandaa.Hakuna wa kumkemea yule kijana, hizi sinema wanazo tuigizia watambue hazitokuwa na mwisho mzuri kwao.Wasifikiri tutaendelea kuwashangilia wakitumia ofisi za umma vibaya na fedha za walipa kodi watakavyo.
 
kijana una akili kuliko paschal mayalla
Mayala kwa kisukuma ni njaa, itakuwa alizaliwa mwaka wa njaa acha ajipendekeze apate ugali wa watoto, toka siku ile pale jumba jeupe alipouliza swali lenye hakili akawa targeted and controlled, ata ningekuwa mimi ndio Mayala ningechagua ugali wa watoto.
 
Mkuu alipiga sim ile kwa maono....kwanza hili la gwajima tayari lilisha andaliwa so akafanya vile kuipa promo shilawadu ili watu wengi waanze kuangalia kipindi icho.
walikua na target yy na mwanae.
Umetufungua macho. Kwa mantiki hiyo DAB bado atakuwepo sana Dar.
 
Back
Top Bottom