Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Sasa najiunga kuwa mwanachama rasmi wa Chadema

Matola

Naendelea kudadavua posts zako dhidi ya jamii ya Waislam, hapa chini unamshambulia Mtume Mohammad.

Kejeli tena Duuu!!!

Pambana na CCM msipambane na Uislam mtashidwa makamanda.

suni au bakwata.. bakwata wako upande wa waliomtandika risasi sheikh ponda..
 
Last edited by a moderator:
Hapa naona udini umetamalaki. Hivi nyie kina ritz nani kawaambia matola ni chadema? Mi nacho kijua lumumba mmekuja kivingine kuikosanisha chadema na waislam kwa kumtumia mtola. Poleni sana
 
Hapa naona udini umetamalaki. Hivi nyie kina ritz nani kawaambia matola ni chadema? Mi nacho kijua lumumba mmekuja kivingine kuikosanisha chadema na waislam kwa kumtumia mtola. Poleni sana
Hakuna mtu aliyeniambia yeye mwenyewe ndiyo kasema ushahidi ni huu uzi.
 
Sura yako mheshimiwa Matola mbunge mtarajiwa kupitia kura za magaidi(waislamu) haijifichi hata kidogo. Sasa umeamua kuja kwagia zote. Twende kazi waislamu wanakusomeni chadema kwakuwabagua na kuwaandalia kaburi ambalo huenda mkaingia wenyewe chadema.

Waislamu tunaipenda Chadema..
 
Last edited by a moderator:
Mabandiko dhidi ya Waislamu au Magaidi...? Mbona amesema vita yake ni dhidi ya Magaidi...? Au Waislamu ni Magaidi.. ?
Nadhani unachagua posts za kusoma haujaona matusi yake dhidi ya Waislam pitia kusoma upya kama wewe utaona hakuna matusi akuna tatizo.
 
We -------- kweli.
Wahaya tunavaa ivo wakati wa harusi. Mbona hamjagi kujilipua kwakua tunadhalilisha uislam? kwanini usiseme tunavaa ivo ili tudoee ubwabwa?
Mkuu mbona wahaya wengi tu Waislam.
 
Hata Sugu na Lema sasa hivi watatangaza kujiunga na Chadema.

Ukishaona muuza maandazi anajiuzia mwenyewe ujue vimeungua hivyo...

Ha ha ha! For the first time nimecheka sana kwa ulichoandika. Nimejua kuwa huna chuki na Chadema ila kumbe huwa ni utani tuu. Asante kwa kunifurahisha asubuhi hii.
 
Mkuu mbona wahaya wengi tu Waislam.

Unajambajamba tu hapa, ukiona myahudi kafuga madevu kama Osama utasema ni mwislamu bila kujuwa kwa uzuzu wako, watu wa middle east ni wafuga madevu na Tareq Aziz ni mkristo mbumbumbu wewe.
 
Ritz huyu mseng.e Matola namjua vizuri, hizo zooooote ni frustration za maisha anafanya kazi kwa wahindi posta huwa anatumwa kumfata mtoto wa bosi shule pia daily anatumwa kisutu kununua mboga mboga,sasa kutokana na kazi anayefanya ya kunyanyaswa na baniani (bosi) vile vile ukichangia huwa anatemewa pariki na bosi wake siku akikasirika and lastly sababu yeye MSUKULE ayisejitambua mi nakushauri take him slowly,maisha yasha mpchapa cc kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Hawa wafuasi wa Chadema watawapa wakati mgumu sana viongozi wao wakati wa uchaguzi mkuu 2015.
 
Ritz huyu mseng.e Matola namjua vizuri, hizo zooooote ni frustration za maisha anafanya kazi kwa wahindi posta huwa anatumwa kumfata mtoto wa bosi shule pia daily anatumwa kisutu kununua mboga mboga,sasa kutokana na kazi anayefanya ya kunyanyaswa na baniani (bosi) vile vile ukichangia huwa anatemewa pariki na bosi wake siku akikasirika and lastly sababu yeye MSUKULE ayisejitambua mi nakushauri take him slowly,maisha yasha mpchapa cc kahtaan

Kusanyiko la misukule na Jihadist, mseng.e mama yako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom