mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,560
- 7,591
Baada ya kushauriwa na wana kwamba ukitaka kufanikiwa jiajiri.
Basi nikaacha kazi nikauza nyumba kuanza kuwekeza kwenye biashara.
Kilichofuata. Tusidanganyane ngoja niendelee kutumwa maisha yenyewe haya haya.
Nb sio kila binadamu kazaliwa kuwa tajiri wengine tumeubwa kutumwa using'ang'anize mambo
Utajipotezea muda.
Basi nikaacha kazi nikauza nyumba kuanza kuwekeza kwenye biashara.
Kilichofuata. Tusidanganyane ngoja niendelee kutumwa maisha yenyewe haya haya.
Nb sio kila binadamu kazaliwa kuwa tajiri wengine tumeubwa kutumwa using'ang'anize mambo
Utajipotezea muda.