Sasa Lissu Kurudi Tanzania hivi karibuni

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,615
Kwa trend ya mambo ilivyo, na kwakuwa Mbowe ameshiriki kwenda Mwanza, na kwasababu najua 'KUNA KIKAO KIZITO' leo, tuamini kuwa Tanzania ya umoja inakaribia na ni matumaini yangu kuwa Lissu atarudi nchini.

Mengine yatafunguka yenyewe automatically.....

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.
 
Kwa trend ya mambo ilivyo, na kwakuwa Mbowe ameshiriki kwenda Mwanza, na kwasababu najua 'KUNA KIKAO KIZITO' leo, tuamini kuwa Tanzania ya umoja inakaribia na ni matumaini yangu kuwa Lissu atarudi nchini.

Mengine yatafunguka yenyewe automatically.....

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.
You should be truthful to yourself, kabla ya Mungu Ibariki Chadema, ulipaswa kuanza na Mungu mbariki Magufuli, Mungu Ibariki Chadema, Mungu Ibariki Tanzania.
P
 
Kwa trend ya mambo ilivyo, na kwakuwa Mbowe ameshiriki kwenda Mwanza, na kwasababu najua 'KUNA KIKAO KIZITO' leo, tuamini kuwa Tanzania ya umoja inakaribia na ni matumaini yangu kuwa Lissu atarudi nchini.

Mengine yatafunguka yenyewe automatically.....

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.
Lissu kaliwa! Alidhani anayotenda kuna mtu wa kumsaidia kuyatuta? Aliyapanga mwenyewe, na hayakuwa maneno ya CHADEMA. Mwambieni ahangaike nayo mwenyewe!!
 
Unataka aseme hivyo kwani wewe Nani?
waJF ni user generated forum, every member is right to his/her own opinion, na hakuna mtu analazimishwa kufuata mawazo ya mtu yoyote, hivyo kwa maoni yangu, mtu wa kwanza kuombewa abarikiwe ni yule mtu mwenye uwezo na mamlaka ya kubadili hali iliyopo, kabla hata hawajamuomba Mungu aibariki Chadema, wamuombe Mungu ambariki Magufuli, aupokee ushauri wa Mbowe na Kuufanyia Kazi.

P.
 
... hivi kwa sasa Lissu yuko kwenye category gani ya watanzania walioko nje; ni mgonjwa? ni mkimbizi? ni mtalii? anafanya kazi (diaspora)? shughuli za kibalozi? au?
Anyway, sidhani kama hilo linakuhusu chochote.

So long as he doesn't use any of your penny there, you better carry on with your itinerary. I think that can suffice.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
waJF ni user generated forum, every member is right to his/her own opinion, na hakuna mtu analazimishwa kufuata mawazo ya mtu yoyote, hivyo kwa maoni yangu, mtu wa kwanza kuombewa abarikiwe ni yule mtu mwenye uwezo na mamlaka ya kubadili hali iliyopo, kabla hata hawajamuomba Mungu aibariki Chadema, wamuombe Mungu ambariki Magufuli, aupokee ushauri wa Mbowe na Kuufanyia Kazi.

P.
Mkuu mbona unajicontradict
Umemsahihisha Mkuu kwa kumwambia what is best kuandika

Mkuu amekuuliza swali kwa nini unataka iwe unavyotaka wewe umemhukumu
You have rights to your opinion na aliyekuuliza has rights to his/her opinion
** Wakati wa Mwl kulikuwa hakuna msemo Mungu mbariki Nyerere ilikuwa Mungu ibariki Tz Mungu ibariki Africa! Kwa nini mnataka kuhalalisha Mungu mbariki Magufuli huoni Magufuli yupo kwenye Mungu ibariki Tz kwani naye ni mwananchi Mtz kwa nini awe exceptional??
 
waJF ni user generated forum, every member is right to his/her own opinion, na hakuna mtu analazimishwa kufuata mawazo ya mtu yoyote, hivyo kwa maoni yangu, mtu wa kwanza kuombewa abarikiwe ni yule mtu mwenye uwezo na mamlaka ya kubadili hali iliyopo, kabla hata hawajamuomba Mungu aibariki Chadema, wamuombe Mungu ambariki Magufuli, aupokee ushauri wa Mbowe na Kuufanyia Kazi.

P.
Taratibuuu - unabadilika tu - grisi inakulainisha kiaina!
 
Kwa trend ya mambo ilivyo, na kwakuwa Mbowe ameshiriki kwenda Mwanza, na kwasababu najua 'KUNA KIKAO KIZITO' leo, tuamini kuwa Tanzania ya umoja inakaribia na ni matumaini yangu kuwa Lissu atarudi nchini.

Mengine yatafunguka yenyewe automatically.....

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.

Lissu harudi kamwe. Hayo tumeyasema. Lissu alipanga kujishambulia akitarajia waliopanga naye wanampemda sana. Badala yake wakataka kummaliza. Yeye Lissu anafahamu hayo na dereva wake anafahamu yote. Sasa hili linafahamika na siku Lissu akirejea hiyo kesi lazima ingurume. Hiyo aibu Lissu ataiweza??? Ndio maana hata dereva wake atafichwa na kufichwa na kufichwa kwa sababu Lissu anaamini akifanyiwa interrogation atausema ukweli. Aibu hiyo inabebeka? Lissu harudi kamwe.
 
Hugo akitua breki ya kwanza Kisutu..

Wasaliti hawana nafasi ktk nchi hii
 
Back
Top Bottom