zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Sasa inakera sana tena sana. Wasanii 90% wa bongo flaza wanajidai hawajui lafdhi ya kiswahili vizuri na wakiimba wanaweka lafdhi sijui ndio ya kizungu au ya ki kayumba.
Mshazisikia hizo nyimbo za hawa jamaa? hivi BASATA hawayaoni haya na kuyakemea au ndio wamelala doro. Inakera.
Mshazisikia hizo nyimbo za hawa jamaa? hivi BASATA hawayaoni haya na kuyakemea au ndio wamelala doro. Inakera.