Sasa hivi Samia Yuko Lockdown (Self imposed)

Sasa hivi Samia Yuko Lockdown (Self imposed)

Watanganyika tuna hasara Sana. Sijui tumemkosea wapi Mungu. Hii adhabu ni kubwa mno
Watanzania ni kama watoto tuliodekezwa, halafu ghafla tumekuwa yatima.

Inabidi tujitathmini, tuishi kwenye reality, tuache kuishi kwenye fantasy ile ya zamani. Ni adhabu kubwa tumeipata lakini trauma tuliyoipata ni fraction ya zile walizopata jamii nyingine, mfano Warusi wakati wa WWII.
 
Nchi pekee ambazo Rais Samia yuko huru kuzitembelea duniani ni Uganda na Burundi kwa wauaji wenzake. Nchi nyingine zote akithubutu kufanya ziara lazima atazomewa 😭!

Hii ni aibu kubwa kwa Watanzania!
Sasa hivi wauaji wa ccm watajidai kukanana ...kumbe tunawajua vozuri sana wanajisumbua tu..kikombe cha damu waliyo mwaga lazima wakinywee...pumbavu zao
 

Attachments

  • AQNCThEUbgqFyMn5paLdeLRTYR7f0prEMfFQ3taXO828eyvEEu8gqBGkqKabIIuHAvpguZnpJV37nWsFRKIfcuGQ.mp4
    917.8 KB
Watanzania ni kama watoto tuliodekezwa, halafu ghafla tumekuwa yatima.

Inabidi tujitathmini, tuishi kwenye reality, tuache kuishi kwenye fantasy ile ya zamani. Ni adhabu kubwa tumeipata lakini trauma tuliyoipata ni fraction ya zile walizopata jamii nyingine, mfano Warusi wakati wa WWII.
Lawama zote ziende kwa General Mkunda
Screenshot_20251126-192538~2.png
 
Nchi pekee ambazo Rais Samia yuko huru kuzitembelea duniani ni Uganda na Burundi kwa wauaji wenzake. Nchi nyingine zote akithubutu kufanya ziara lazima atazomewa 😭!

Hii ni aibu kubwa kwa Watanzania!
Nadhan hata Uganda anaogopa kwenda, anahofu akitoka tuu na yeye byebye ikulu
 
Huyu mama CCM mtandao wame m-fix. Hatakuwa na furaha na urais wake, ICC na wao wanakwenda kumhemea mgongoni dadeq.

IQ yake ndogo..namuonea huruma.
 
Nchi pekee ambazo Rais Samia yuko huru kuzitembelea duniani ni Uganda na Burundi kwa wauaji wenzake. Nchi nyingine zote akithubutu kufanya ziara lazima atazomewa 😭!

Hii ni aibu kubwa kwa Watanzania!
Fazafaka akanywe coffee na Paul Biya tu!
 
Sasa wa Tanzania iyo aibu tunaipata vipi aibu ni yake bhn
 
Baada ya jana kuwaambia wanaoifadhili serikali yake "Who are you" sasa kwisha habari yake Ulaya atakuwa anapaona kwenye TVs tu!
Screenshot_20251201-222021~2.png
 
Back
Top Bottom