Sasa hivi hakuna muhalifu atakaetoroka nchi

Sasa hivi hakuna muhalifu atakaetoroka nchi

Yaani mtu yupo korokoroni na ana kesi ya kujibu, hayo maisha yake yamekua hatarini lini? In fact kwa uchochezi, uharibifu na maafa alioyoyachochea na kutokea, wananchi wanaweza kua na hasira nae, but kwa uimara na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, uraiani hakuna tena rooms for criminals. All criminals belongs to jail.

Eti aende tu akaishi uhamishoni ughaibuni.
Halafu eti pale HQ kwenye chama chake viongozi wake wasivyojielewa eti wanapanga namna atakavyotoroka au kuikimbia nchi na kuelekea huko uhamishoni kwa mabwenyenye ya magharibi waliomtuma kuleta fujo Tanzania.

Hivi my friends, ladies and gentlemen, hata ukimtazama usoni mwake tu huyo kibaraka, unadhani anaikimbia nchi au anawakimbilia mke na watoto wake huko ng'ambo, ambapo amewamisi sana?

Unadhani ikiwa itatokea hivyo,
kuna siku huyo kibaraka atafikiria au atatamani au atajaribu au atathubutu kurudi tena Tanzania na kukiuka sheria na katiba ya nchi kwa makusudi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ninavyojua unaongoza kutukanwa kwa kumshambulia mtu mwema na kuwatetea wauwaji na waporaji wa rasilimali zetu wanaokulipa.

Lissu amewahi kusaini mkataba wowote wa kuuza Nchi kama hao wezi wa Chama chako???
 
Yaani mtu yupo korokoroni na ana kesi ya kujibu, hayo maisha yake yamekua hatarini lini? In fact kwa uchochezi, uharibifu na maafa alioyoyachochea na kutokea, wananchi wanaweza kua na hasira nae, but kwa uimara na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, uraiani hakuna tena rooms for criminals. All criminals belongs to jail.

Eti aende tu akaishi uhamishoni ughaibuni.
Halafu eti pale HQ kwenye chama chake viongozi wake wasivyojielewa eti wanapanga namna atakavyotoroka au kuikimbia nchi na kuelekea huko uhamishoni kwa mabwenyenye ya magharibi waliomtuma kuleta fujo Tanzania.

Hivi my friends, ladies and gentlemen, hata ukimtazama usoni mwake tu huyo kibaraka, unadhani anaikimbia nchi au anawakimbilia mke na watoto wake huko ng'ambo, ambapo amewamisi sana?

Unadhani ikiwa itatokea hivyo,
kuna siku huyo kibaraka atafikiria au atatamani au atajaribu au atathubutu kurudi tena Tanzania na kukiuka sheria na katiba ya nchi kwa makusudi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hiyo chess mnayoicheza kuna siku itawatokea puani.
 
Ninavyojua unaongoza kutukanwa kwa kumshambulia mtu mwema na kuwatetea wauwaji na waporaji wa rasilimali zetu wanaokulipa.

Lissu amewahi kusaini mkataba wowote wa kuuza Nchi kama hao wezi wa Chama chako???
kutukana na kuporomosha matusi jukwaani si ndio taaluma yenu gentleman ambayo haina athari zozote zile kisiasa kijamii na kiuchumi? au hujui hilo?

ukitukana,
maana yake si unajiexpose ulivyo empty head tu mbele ya jamii, au kuna cha ziada mnapata?

hakuna alietajwa kwenye uzi, na kwahivyo hakuna haja ya kumbwelambwela vitu useless jukwaani, jikite kwenye hoja mahususi mezani na itapendeza zaidi 🐒
 
kutukana na kuporomosha matusi jukwaani si ndio taaluma yenu gentleman ambayo haina athari zozote zile kisiasa kijamii na kiuchumi? au hujui hilo?

ukitukana,
maana yake si unajiexpose ulivyo empty head tu mbele ya jamii, au kuna cha ziada mnapata?

hakuna alietajwa kwenye uzi, na kwahivyo hakuna haja ya kumbwelambwela vitu useless jukwaani, jikite kwenye hoja mahususi mezani na itapendeza zaidi 🐒
Unayemuita mhalifu amesaini mkataba wowote kuuza mali na rasilimali zetu ?

Hao maboss wako wanokutuma ndiyo wamesaini mikataba na kuuza Nchi halafu mnawauwa wanaokemea wizi wenu.

Jibu swali kwanza. Mmempiga risasi za kumuua akanusurika, halafu mnatukana kibaraka.
 
Wahalifu wanapojifanya wasafi huko wakisahau mauaji ya kinyama waliofanya na wanaendelea kuua watu kila siku
Jibu unalo wahalifu ni akina nani wanaoendelea kuteka na kuua raia au ni wale wanaopiga udhalimu huo
Hii nchi tusitishane sio ya baba yako hii
 
Jamii Forum imejishishia hadhi kwa kuruhusu vichaa kama Hawa kuleta nyuzi Kila siku. Huyu jamaa ni kama Nabii Tito sema watu hawajamjulia.
 
Back
Top Bottom