Yaani mtu yupo korokoroni na ana kesi ya kujibu, hayo maisha yake yamekua hatarini lini? In fact kwa uchochezi, uharibifu na maafa alioyoyachochea na kutokea, wananchi wanaweza kua na hasira nae, but kwa uimara na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, uraiani hakuna tena rooms for...