Sasa hivi hakuna muhalifu atakaetoroka nchi

Sasa hivi hakuna muhalifu atakaetoroka nchi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
45,278
Reaction score
37,073
Yaani mtu yupo korokoroni na ana kesi ya kujibu, hayo maisha yake yamekua hatarini lini? In fact kwa uchochezi, uharibifu na maafa alioyoyachochea na kutokea, wananchi wanaweza kua na hasira nae, but kwa uimara na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, uraiani hakuna tena rooms for criminals. All criminals belongs to jail.

Eti aende tu akaishi uhamishoni ughaibuni.
Halafu eti pale HQ kwenye chama chake viongozi wake wasivyojielewa eti wanapanga namna atakavyotoroka au kuikimbia nchi na kuelekea huko uhamishoni kwa mabwenyenye ya magharibi waliomtuma kuleta fujo Tanzania.

Hivi my friends, ladies and gentlemen, hata ukimtazama usoni mwake tu huyo kibaraka, unadhani anaikimbia nchi au anawakimbilia mke na watoto wake huko ng'ambo, ambapo amewamisi sana?

Unadhani ikiwa itatokea hivyo,
kuna siku huyo kibaraka atafikiria au atatamani au atajaribu au atathubutu kurudi tena Tanzania na kukiuka sheria na katiba ya nchi kwa makusudi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mara nyingi Nikiwa wa kwanza kukomenti, basi ujue huo Uzi ni pumba tupu. And here we are
ok.
kaa bas hapo pembeni gentleman umalizie mihogo yako kwa utulivu na itapendeza zaidi 🐒
 
Yaani mtu yupo korokoroni na ana kesi ya kujibu, hayo maisha yake yamekua hatarini lini? In fact kwa uchochezi, uharibifu na maafa alioyoyachochea na kutokea, wananchi wanaweza kua na hasira nae, but kwa uimara na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, uraiani hakuna tena rooms for criminals. All criminals belongs to jail.

Eti aende tu akaishi uhamishoni ughaibuni.
Halafu eti pale HQ kwenye chama chake viongozi wake wasivyojielewa eti wanapanga namna atakavyotoroka au kuikimbia nchi na kuelekea huko uhamishoni kwa mabwenyenye ya magharibi waliomtuma kuleta fujo Tanzania.

Hivi my friends, ladies and gentlemen, hata ukimtazama usoni mwake tu huyo kibaraka, unadhani anaikimbia nchi au anawakimbilia mke na watoto wake huko ng'ambo, ambapo amewamisi sana?

Unadhani ikiwa itatokea hivyo,
kuna siku huyo kibaraka atafikiria au atatamani au atajaribu au atathubutu kurudi tena Tanzania na kukiuka sheria na katiba ya nchi kwa makusudi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi unajijua kuwa wewe ni takataka? Unajua maana ya takataka? Takataka ni kitu chochote kisichokuwa na thamani hivyo sehemu yake ni jalalani. I wonder why JF accommodates this trash?
 
Hivi unajijua kuwa wewe ni takataka? Unajua maana ya takataka? Takataka ni kitu chochote kisichokuwa na thamani hivyo sehemu yake ni jalalani. I wonder why JF accommodates this trash?
tuliza mihemko kidogo bas gentleman na itapendeza zaidi,

hakuna haja ya kuweweseke kiasi hicho mpaka unakosa point bana dah 🐒
 
Wewe kama nani katika hii nchi wa kutoa matamko kama hayo?
hilo sio tamko ndugu mdau wa jf,
hilo bandiko la kawaida tu, na ni kwa manufaa ya vibaraka wote wa mabwenyenye ya magharibi wanapanga eti kutoroka nchi kukwepa mkono wa sheria baada ya kukiuka sharia za nchi 🐒
 
hilo sio tamko ndugu mdau wa jf,
hilo bandiko la kawaida tu, na ni kwa manufaa ya vibaraka wote wa mabwenyenye ya magharibi wanapanga eti kutoroka nchi kukwepa mkono wa sheria baada ya kukiuka sharia za nchi 🐒
Bullshit
 
Screenshot_20260814-160016_Instagram.jpg
 
Yaani mtu yupo korokoroni na ana kesi ya kujibu, hayo maisha yake yamekua hatarini lini? In fact kwa uchochezi, uharibifu na maafa alioyoyachochea na kutokea, wananchi wanaweza kua na hasira nae, but kwa uimara na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, uraiani hakuna tena rooms for criminals. All criminals belongs to jail.

Eti aende tu akaishi uhamishoni ughaibuni.
Halafu eti pale HQ kwenye chama chake viongozi wake wasivyojielewa eti wanapanga namna atakavyotoroka au kuikimbia nchi na kuelekea huko uhamishoni kwa mabwenyenye ya magharibi waliomtuma kuleta fujo Tanzania.

Hivi my friends, ladies and gentlemen, hata ukimtazama usoni mwake tu huyo kibaraka, unadhani anaikimbia nchi au anawakimbilia mke na watoto wake huko ng'ambo, ambapo amewamisi sana?

Unadhani ikiwa itatokea hivyo,
kuna siku huyo kibaraka atafikiria au atatamani au atajaribu au atathubutu kurudi tena Tanzania na kukiuka sheria na katiba ya nchi kwa makusudi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi jina la ma bwanyenye la enzi ya ujamaa bado linatumika?.Sasa hao unaowaita ma bwanyenye ndio unaowapelekeaga bakuli kuomba msaada toka enzi za zidumu fikra za nanilino hadi sasa.
 
Yaani mtu yupo korokoroni na ana kesi ya kujibu, hayo maisha yake yamekua hatarini lini? In fact kwa uchochezi, uharibifu na maafa alioyoyachochea na kutokea, wananchi wanaweza kua na hasira nae, but kwa uimara na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, uraiani hakuna tena rooms for criminals. All criminals belongs to jail.

Eti aende tu akaishi uhamishoni ughaibuni.
Halafu eti pale HQ kwenye chama chake viongozi wake wasivyojielewa eti wanapanga namna atakavyotoroka au kuikimbia nchi na kuelekea huko uhamishoni kwa mabwenyenye ya magharibi waliomtuma kuleta fujo Tanzania.

Hivi my friends, ladies and gentlemen, hata ukimtazama usoni mwake tu huyo kibaraka, unadhani anaikimbia nchi au anawakimbilia mke na watoto wake huko ng'ambo, ambapo amewamisi sana?

Unadhani ikiwa itatokea hivyo,
kuna siku huyo kibaraka atafikiria au atatamani au atajaribu au atathubutu kurudi tena Tanzania na kukiuka sheria na katiba ya nchi kwa makusudi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
ZILAANIWE SHAHAWA CHAFU ZA BABA YAKO ALIZOMKOJOLEA MAMA YAKO UKAZALIWA CHOKO TLAATLAAH
 
Hivi jina la ma bwanyenye la enzi ya ujamaa bado linatumika?.Sasa hao unaowaita ma bwanyenye ndio unaowapelekeaga bakuli kuomba msaada toka enzi za zidumu fikra za nanilino hadi sasa.
maelezo yako ni porojo gentleman, just relax ikiwa uko pointless zaidi ya hapo 🐒
 
ZILAANIWE SHAHAWA CHAFU ZA BABA YAKO ALIZOMKOJOLEA MAMA YAKO UKAZALIWA CHOKO TLAATLAAH
calm down plz gentleman,
inajulikana una kipaji cha kutukana na kuporomosha matusi jukwaani,

but,
that's is hot air kwenye uzi huu 🐒
 
Back
Top Bottom