Sarkozy apoteza urais ufaransa people's power

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
francois_hollande.jpg


Habari zilizotufikia ni kwamba nchini Ufaransa kimeumana na rais Nicolas Sarkozy amebwagwa na Francois Hollande,. Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.
 
Royals my friend people's power is everywhere under the sun. Therefore take it from me. Whenever a sitting president is shown the door, mark my word, it is but people's power.
 
Ameungana na yule mjamaa wa Italia aliyekuwa analala kwenye sarakasi na warembo za usiku kucha.
Hahaaa... Nadhani hawa watu wanatabia za kufanana maana hata Rais wetu hizo ndizo zilikuwa tabia zake kipindi alipokuwa waziri wa mambo ya nje !!!!
 
Nimefurahi sana huyo Sarkozy muaji mkubwa damu za raia wa Libya zinafanya kazi kachukuwa pesa ya Gadafi halafu wamemeua..
 
Mwosha uoshwa!Ritz Ukizoea vya Kuchinja na Vakunyonga pia uvizoe!Next after Sarkozy it Ur Part!Tia Maji.
 
Ufaransa wanataka ujamaa lakini sisi Tanzania tunajifanya eti ni mabepari kubuhu yanayokula raslimali za nchi bila hata kunawa mikono; siku zitatufundisha kama wenzetu Ufaranza walivyojifunza.
 
Na yeye Sarkozy si alihusika kushika bango kun'golewa Ghadafi zamu yake imefika.

Sio kuhusika tu hata pesa zilizomuingiza madaraka Sarkozy, imekundulika alipewe na Gadafi halafu yeye ndio alikuwa wa kwanza kupeleka ndege za kivita kuangusha utawala wa Gadafi.
 
Sio kuhusika tu hata pesa zilizomuingiza madaraka Sarkozy, imekundulika alipewe na Gadafi halafu yeye ndio alikuwa
wa kwanza kupeleka ndege za kivita kuangusha utawala wa Gadafi.

Ajiandae maana uchunguzi upo njiani walikua analindwa na kofia ya Urais sasa atakabiliwa na Kesi ya rushwa.
 
sarkozy aliwasulubu waislamu na kuwaona watu wasiokuwa na maana jamaa hawakuwa na haraka walimsubir kwny box la kura
Sarkozy amevuna alichokipanda..
 
Back
Top Bottom