ddsmchau1712
Member
- May 13, 2011
- 37
- 9
Hivi inakuwaje kijana au msichana wa watu umevunja kabati... ukajikoki kwelikweli, yaani ile yenyewe.... na ukichukulia ndio mtoko wa kwanza na boyfriend/girlfriend mpya uliyemaliza soli sana kupata "YES" yake ya kutoka na wewe jioni. Mnachagua bar moja safi kabisa iliyotulia... mnafika hapo na kukaa... mara heeeee unacheki wahudumu wote iwe ni wakike or kiume "wamevaa sawa kabisa na pamba zako!"..... yaani copy kabisa, yaani ukisimama au ukikaa mtu yeyote yule lazima ajue wewe ni mhudumu wa bar hiyo.... NOW TELL ME... WHAT NEXT!!?