Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Ziwe elfu 15 ndio unapata ile aliyokwapua Meko, akamfukuza mtu muungwana kama Prof Assad katika ofisi ya uma.Bilioni 1 unaijua bwashee?!
Hiyo ndio taarifa inayozunguka mitandaoniBilioni 1 unaijua bwashee?!
Bilioni 1 unaijua bwashee?!
Mnajitahidi!Acha kumpinga kamanda,
ila kama umekuja kuiga kama ilivyo desturi ya makada wa Lumumba basi iga kimya kimya ili ufe kimya kimya
Mnajitahidi!
Anaota moto wakuchomea tanuli la mkaa wakati wa jua kali tena jiji dar...Bilioni 1 unaijua bwashee?!
Waliojiandikisha 2015 wamekufa ?Dafatri la wapiga kura limeshafungwa nadhani...chadema sikuona wakihimiza watu kwenda kujiandikisha kama mwaka 2015...watu hawataki kuona ukweli...
Hata kura 500,000 watasema kura bilioni 5!Bilioni 1 unaijua bwashee?!
Ona huyu masalakulangwa,wewe ni mtu mzima usie jielewa!Hata kura 500,000 watasema kura bilioni 5!
Kunywa maji usije kupata ugonjwa wa moyo.Ona huyu masalakulangwa,wewe ni mtu mzima usie jielewa!
Nimesubiri sana ile ahadi yako ya kunipoteza itimie lakini bado vipi nini shida?Ona huyu masalakulangwa,wewe ni mtu mzima usie jielewa!