BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Uzi bomba sana ngoja nami nisake huo uzi wa kujidai nao mtaani.
Wamependeza sana
Wamependeza sana
Hivi nyie MATAGA mbona mnaongeza idadi ya viewers tu kwenye habari za chadema?Kunywa maji usije kupata ugonjwa wa moyo.
Mkuu salama? Long time no see...Hivi nyie MATAGA mbona mnaongeza idadi ya viewers tu kwenye habari za chadema?
Unakatwa wewe kubiNimesubiri sana ile ahadi yako ya kunipoteza itimie lakini bado vipi nini shida?
Hii siyo ya kukosaUzi bomba sana ngoja nami nisake huo uzi wa kujidai nao mtaani.
Teh teh teh matusi yanini?Unakatwa wewe kubi
UmepanicFedha zetu za rudhuku ndo mnawapoza wajumbe kwa kuwanunulia hayo marangi rangi ili kuwafunga mdomo wasiulize matumizi yake!!!
Wenzenu wa kijani mbona wanajinunulia wenyewe ,nyinyi mnatumia fedha hovyo hovyo tu.
Karibu sana mkuuNguo ka bustani
Natamani sana kukuunga mkono ila hekima hiyo ndio ilimfanya yule kunguru rangi mbili kujikuta anafutika hapa Dasilama hivi hivi alipoambiwa kuwa kuna kunguru mweusi tii kaletwa na muungano kutoka Zenji. Kunguru rangi 2 kabakia kubisha; Aaaah aaah aaah. Leo yuko wapi hapa Dasilama?? Laiti angesikia maonyo akaitisha kikao cha upatanisho. Leo wangegawana jiji. Wageni wakapewa Obay na wenyeji wakakaa Ilala boma. Si amani ingekuwepo?? Tafakari, chukua hatua. Ningetamani tugawane miji kwa amaniUpinzani nchi hii bado sanaaaa
😆😆😆Pamba imetulia CHADEMA SHOP haraka sana
una fikra za Mkapa ?Kuikomboa Tanzania kivipi?