Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,317
Katika Vikao vya CHADEMA vinavyoendelea kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, dunia nzima inaangalia nani atapeperusha bendera ya chama hicho katika kuikomboa Tanzania, kuna taarifa kwamba zaidi ya watu bilion 1 duniani wanafuatilia mkutano huo .
Lakini sisi wengine tumejiongeza kidogo na kuamua si tu kufuatilia mkutano wenyewe bali pia kuangalia hata mandhari ya ukumbi ikiwemo na unadhifu wa wahudhuriaji ( siyo wajumbe )
Hakika huu uzi si wa kitoto ! Natoa wito kwa Chadema kuwa na CHADEMA SHOP ili kuondoa usumbufu kwa wananchi wanaozisaka sare hizi mpya bila mafanikio na huku soli za viatu vyao zikipukutika , waigaji wajaribu na hili nalo tuone kama wataweza .
Mungu ibariki CHADEMA
Lakini sisi wengine tumejiongeza kidogo na kuamua si tu kufuatilia mkutano wenyewe bali pia kuangalia hata mandhari ya ukumbi ikiwemo na unadhifu wa wahudhuriaji ( siyo wajumbe )
Hakika huu uzi si wa kitoto ! Natoa wito kwa Chadema kuwa na CHADEMA SHOP ili kuondoa usumbufu kwa wananchi wanaozisaka sare hizi mpya bila mafanikio na huku soli za viatu vyao zikipukutika , waigaji wajaribu na hili nalo tuone kama wataweza .
Mungu ibariki CHADEMA