Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,020
- 103,411
Piga ua Rais yupo above the law hapa Tanzania! Acha utoto wenu
Duuu mkuu hili povu sio la nchi hii. Ni kweli yuko juu ya sheria hilo hatukatai, ila anapojifanya ni msafi wakati ni mwizi hapo ndio tunabaki vinywa wazi.