Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,105
Sakata la ripoti ya CAG lilishafungwa na Waziri wa Fedha. Asingeweza kutamka mbele ya Mhe. Rais kwamba hakuna wizi kama hizo taarifa siyo ya baraza la mawaziri. Wabunge wanapoona hakuna waziri bungeni wasishangae, kwa sababu hata mawaziri wakiwemo bungeni hakuna majibu wala jambo jipya watakipata kwa wabunge. Mawaziri wamejiridhisha kwamba hakuna wizi full stop.
Itoshe kusema wapo watu wanataka kumchokoza Rais. Wapo watu wanataka waonekane nao walisema kisa wameona uchaguzi mkuu unakaribia. Wapo wabunge wanataka kuonekana wapo smart kisa tu wamepewa nafasi ya kuzungumza ila ukweli hakuna mbunge anayeweza kusema ana uchungu na hii nchi.
Wewe uingie bungeni kwa wizi uje useme una uchungu na nchi, unaanzaje? Mwenyekiti wa kamati aingie bungeni kwa figisu then awe na uchungu na wananchi thubutu.
Bulaya anasema mzee Sirro ahojiwe anajua kazi Sirro aliyofanya hadi kumfanya awepo bungeni leo? Do she know how much this people suffered for them to be in parliament. Unapotaka kupigania haki lazima nafsi yako iwe ya haki. Kama umeona kura kwanini utake kutuaminisha kwamba wewe siyo mwizi wa fedha za umma?
Hakuna mbunge wakuwaambia wananchi yeye ni mwema, wote ni wezi isipokuwa mnazidiana kiwango na kwa kuliona ilo ndipo Mwigulu akaamua kuhitimisha hii hoja kwa kusema adharani Tanzania katika awamu ya sita hakuna wizi
Kama unaona wizi basi wewe ndiye mwizi mwenyewe..
Itoshe kusema wapo watu wanataka kumchokoza Rais. Wapo watu wanataka waonekane nao walisema kisa wameona uchaguzi mkuu unakaribia. Wapo wabunge wanataka kuonekana wapo smart kisa tu wamepewa nafasi ya kuzungumza ila ukweli hakuna mbunge anayeweza kusema ana uchungu na hii nchi.
Wewe uingie bungeni kwa wizi uje useme una uchungu na nchi, unaanzaje? Mwenyekiti wa kamati aingie bungeni kwa figisu then awe na uchungu na wananchi thubutu.
Bulaya anasema mzee Sirro ahojiwe anajua kazi Sirro aliyofanya hadi kumfanya awepo bungeni leo? Do she know how much this people suffered for them to be in parliament. Unapotaka kupigania haki lazima nafsi yako iwe ya haki. Kama umeona kura kwanini utake kutuaminisha kwamba wewe siyo mwizi wa fedha za umma?
Hakuna mbunge wakuwaambia wananchi yeye ni mwema, wote ni wezi isipokuwa mnazidiana kiwango na kwa kuliona ilo ndipo Mwigulu akaamua kuhitimisha hii hoja kwa kusema adharani Tanzania katika awamu ya sita hakuna wizi
Kama unaona wizi basi wewe ndiye mwizi mwenyewe..