Sarafu mpya yatolewa leo na BOT

Sarafu mpya yatolewa leo na BOT

Watanzania wengi hawaelewi nini maana ya kutengeneza sarufu kwa pesa iliokuwa note. Hili ni anguko la thamani ya fedha. Kwa maana nyingine miatano itaungana na sarafu nyingine kwenda kununua pipi na mafungu ya nyanya. Haitakuwepo tena kwenye mauzo na manunuzi. mfno kama bati linauzwa 16500 linakwenda kuuzwa 17000 kuondokana na usumbufu wa sarafu. Sasa wajinga wa ccm hapa wanashangilia na kumpongeza Mwigulu eti uchumi unakua, Uchumi unaokuwa unajireflect kwe maintain the status qou ya pesa yenu. Uchumi wowote unaobadili note kuwa sarafu ni uchumi ambao sekta yake fedha inayumba. Hii inamaana vitu vimepanda bei kiasi 500 miatano imekuwa ya kununua bidhaa za chini sana. Pia gharama ya kuitengeneza mia tano ya note ni kubwa kuliko thamani yake. Wananchi watanzania ni watu wa mia tano yaani hali zao kiuchumi ni mbaya kiasi mia tano ni pesa inashikwa na watu wengi sana hivyo kuchakaa zaidi.
 
hiv na nchi zilizoendelea kiuchumi wanatumia sarafu?

Nchi zilizoendelea wanatumia sarafu na kwa kuwa uchumi wao una nguvu, sarafu ni kwa pesa ndogo ndogo tu. Mfano USA kuna sarafu za aina nne:
1. Senti moja (One Cent)
2. Senti tano (Five Cents)
3. Senti kumi (One Dime), na
4. Senti ishirini na tano (One Quarter)

Yaani kwao hata sarafu ya senti 50 hakuna, na dola moja bado ni noti.

Kutengeneza sarafu ya kiwango kikubwa zaidi cha pesa, ikiwa ni pamoja na kuchapa noti zenye thamani kubwa zaidi ni kiashiria cha uchumi kuporomoka na kupungua kwa uwezo wa fedha katika kununua bidhaa na huduma.
 
Sasa wajinga wa ccm hapa wanashangilia na kumpongeza Mwigulu eti uchumi unakua, Uchumi unaokuwa unajireflect kwe maintain the status qou ya pesa yenu. Uchumi wowote unaobadili note kuwa sarafu ni uchumi ambao sekta yake fedha inayumba. Hii inamaana vitu vimepanda bei kiasi 500 miatano imekuwa ya kununua bidhaa za chini sana.

Mimbulula itashangilia tu wakati hali ni mbaya sana sasa kiasi mia tano kufikia kununua kipakti cha karanga.....
 
Watanzania wengi hawaelewi nini maana ya kutengeneza sarufu kwa pesa iliokuwa note. Hili ni anguko la thamani ya fedha. Kwa maana nyingine miatano itaungana na sarafu nyingine kwenda kununua pipi na mafungu ya nyanya. Haitakuwepo tena kwenye mauzo na manunuzi. mfno kama bati linauzwa 16500 linakwenda kuuzwa 17000 kuondokana na usumbufu wa sarafu. Sasa wajinga wa ccm hapa wanashangilia na kumpongeza Mwigulu eti uchumi unakua, Uchumi unaokuwa unajireflect kwe maintain the status qou ya pesa yenu. Uchumi wowote unaobadili note kuwa sarafu ni uchumi ambao sekta yake fedha inayumba. Hii inamaana vitu vimepanda bei kiasi 500 miatano imekuwa ya kununua bidhaa za chini sana. Pia gharama ya kuitengeneza mia tano ya note ni kubwa kuliko thamani yake. Wananchi watanzania ni watu wa mia tano yaani hali zao kiuchumi ni mbaya kiasi mia tano ni pesa inashikwa na watu wengi sana hivyo kuchakaa zaidi.


Hii ina maanisha kwamba pesa ya Tanzania inazidi kushuka thamani yake so, sio suala la kufurahia bali la kuhuzunisha.
 
Inasikitisha sana kwa kweli...sijui tunaelekea wapi...mwisho wa siku tunakuja kuambiwa uchumi umekua kwa asilimia 10.....wakati value of money is going down everyday....ukishika 10000 ...kama umeshika elfu 1000... this is very bad
 
Wajinga wengi!wenyewe wanasema tunataka noti ya 50,000 na 25,000!....kwa kifupi uchumi wa nchi kwisha habari yake....heri tutumie dola ya USA.Kama hauamini chukua 50/= kanunue karanga!
 
inaweza isiwe sahihi kwa mtazamo wa kiuchumi,ila kwa mtizamo wa kawaida unaona poa tu.kwanza noti za sh 500 zilikuwa na ubora duni.zinachakaa mapema.

kama inachakaa mapema ni kwanini wasitengeneze noti imara zaidi? hii inashiria kwamba uchumi wetu umeporomoka kwa kasi ya kutisha. magamba ndio waliotufikisha hapa. kama nchi hii itaendelea kuwa chini ya CCM mpaka mwaka 2015, tutarajie majanga zaidi.
 
sababu kubwa ya kutumia sarafu ya 500 ni kuwa hela hiyo ndo inafanya mzunguko mkubwa kwa sasa. inabadili mikono ya watu sana hivyo kuweka sarafu ni kuiongezea muda wa kukaaa kwa mtumiaji muda mrefu kabla ya kubadilishwa. Nikweli uchumi umeshuka thamani.
 
Kutoa sarafu akawekwa Karume sio njia ya kuwanyamazisha Wazanzibari.

Ulahai kama huu umepitwa na wakati "Zanzibar Huru". Ndio msingi wa ajenda ya Waznz.
 
Khaaa! Hawa serikali ni noma kwa kichakachua ile yamkapa ilionekana haifai ikabadilishwa tukapewa ya rizione ambayo mkiishika watu kumi haitumiki tena bado hata ile ya mkapa haijaisha achilia mbali hii ya riz imetoka ingine, ila naishukur serikali maana naona iko kimuungano zaidi maana kuna picha ya mmoja kati ya waasisi wa muungano ambaye watu wake hawataki muungano labda itawatuliza wakubali serikal 2
 
....UHALALI wa KARUME kuwekwa picha yake kwenye sarafu za 200 & 500 Unatoka wapi?_
 
Watanzania wengi hawaelewi nini maana ya kutengeneza sarufu kwa pesa iliokuwa note. Hili ni anguko la thamani ya fedha. Kwa maana nyingine miatano itaungana na sarafu nyingine kwenda kununua pipi na mafungu ya nyanya. Haitakuwepo tena kwenye mauzo na manunuzi. mfno kama bati linauzwa 16500 linakwenda kuuzwa 17000 kuondokana na usumbufu wa sarafu. Sasa wajinga wa ccm hapa wanashangilia na kumpongeza Mwigulu eti uchumi unakua, Uchumi unaokuwa unajireflect kwe maintain the status qou ya pesa yenu. Uchumi wowote unaobadili note kuwa sarafu ni uchumi ambao sekta yake fedha inayumba. Hii inamaana vitu vimepanda bei kiasi 500 miatano imekuwa ya kununua bidhaa za chini sana. Pia gharama ya kuitengeneza mia tano ya note ni kubwa kuliko thamani yake. Wananchi watanzania ni watu wa mia tano yaani hali zao kiuchumi ni mbaya kiasi mia tano ni pesa inashikwa na watu wengi sana hivyo kuchakaa zaidi.

well said,na sabubu za msingi ni hzo 2 tu.hi serekali ya ccm itoke angalau kwa miaka kadhaa 2angalie na wngne kwanza.
Hi nchi sa hv kuna tatizo la kupika data zitakazo endana na hali ya siasa na ndo tatizo linaanzia hapo!
 
Acha mawazo ya kibawacha wewe kila kitu wewe unawaza siasa tu kitasa kweli wewe.

in this world,ni kwl kila k2 kinaanza na siasa,cha pili ni bznes.
Huwezi tenganisha uchumi,siasa,biashara na sheria hv v2 vinaingiliana
 
Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imezindua rasmi sarafu mpya ya Sh500 itakayoanza kutumika Oktoba mwaka huu.

Akizungumza wakati wa kutambulisha sarafu hiyo, mkurugenzi wa huduma za kibenki wa BoT, Emmanuel Boaz alisema Serikali imefanya uamuzi huo ili kurahisisha upatikanaji wa chenji na kutunza ubora wa fedha.

“Noti ya Sh500 ndiyo inayopitia mikononi mwa wananchi wengi hivyo kuchakaa mapema. Lakini kutokana na gharama ya kuzichapisha ukilinganisha na sarafu ambazo hudumu kwa muda mrefu, tumeamua kuziondoa noti na kuleta sarafu yenye thamani ile ile.

Kuna taratibu tunaendelea kuzikamilisha kabla hatujaziingiza sarafu hizo katika mzunguko mwezi Oktoba. Zitakapoanza kutumika hakutakuwa na haja ya wananchi kwenda kubadilisha noti walizonazo kwani zitakuwa zinatumika pamoja hadi zitakapopotea katika mzunguko,”alisema.

Sarafu hiyo ina umbo la duara, lenye kipenyo cha milimita 27.5 na michirizi pembeni ikiwa na uzito wa gramu 9.5. Mbele ina picha ya Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Aman Karume na nyuma ni nyati

Written by nuramo // 08/09/2014
 
Back
Top Bottom