Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,929
- 1,172
- Thread starter
- #21
Hakuna tatizo boss maana ni siku ya kazi
...teh, naona Kuna watu wana kazi zao za jpili mkuu
Hakuna tatizo boss maana ni siku ya kazi
Lakini kwa kweli kwenye mzunguko wa kifedha tunahitaji noti zenye thamani zaidi ya Sh 10,000, suala la kusema litazidisha mfumuko wa bei BOT ijipange vizuri kulidhibiti, angalau ziwepo za Sh 25,000.. manake ni usumbufu mkubwa sana kwa wale wafanyao biashara kubwakubwa za fedha taslim..kubebana nazo ni hatari hatari hatari, hawana amani kabisa..
Lakini kwa kweli kwenye mzunguko wa kifedha tunahitaji noti zenye thamani zaidi ya Sh 10,000, suala la kusema litazidisha mfumuko wa bei BOT ijipange vizuri kulidhibiti, angalau ziwepo za Sh 25,000.. manake ni usumbufu mkubwa sana kwa wale wafanyao biashara kubwakubwa za fedha taslim..kubebana nazo ni hatari hatari hatari, hawana amani kabisa..
Hii tathimini ya wapi kumbe sarafu mpya ikitoka ndiyo uchumi kushuka hiki nacho sijui ni kichwa gani cha huyu jamaa.Source!
Hivi hapo inamaana uchumi unashuka eeh!
Anyways,ngoja tuone bei mpya ya vyakula itakavyopaa!!!
Hata zikiwepo za 50,000 mkuu, kwa sasa kubeba nkononi milioni 100 ni shida kubwa
Acha mawazo ya kibawacha wewe kila kitu wewe unawaza siasa tu kitasa kweli wewe.Naona wameweka picha ya rais wa nchini Zanzibar ili kuwaridhisha jamaa.
Acha mambo yako wewe huku mitaani wafanyabiashara ndogondogo na zakati noti ya 10000 kupata chenji kazi sembuse noti ya 25000/:
Acha mawazo ya kibawacha wewe kila kitu wewe unawaza siasa tu kitasa kweli wewe.
Hivi ktk dola ya kimarekani kuna sarafu? Na dola kubwa kabisa ni dola ngapi wakuu!