vena
JF-Expert Member
- Apr 14, 2011
- 311
- 39
Naonavyo mimi, sarafu 1 kwa EAC ni mapema mno... Tuna mengi ya kurekebisha kabla hatujafika huko. Pia, bado hizi nchi wanachama hatuaminiani, tunaishi kwa kuviziana na kwa mashaka mno, sarafu 1 inaitaji uaminifu sana, sasa kwa ujanja ujanja wa wakenya, tamaa ya m7 na kagame, hatuwezi tengeneza strong monetary union. Hili swala tungesubili kwanza. Afteral, mbona tunakuwa na haraka mno??
Hawa wazee wanataka kuiona sarafu moja kabla hawajafa so , wana harakisha