Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Mabishano makali yamezuka katika mjadala unaoendelea Katika Makao Makuu ya Jumuiya Ya Afrika Mashariki Huko Arusha katiya Kenya na Rwanda. Hoja ikiwa ni wao wanataka kuwe na sarafu moja ya jumuiya, lakini waendelee kubaki na sarafu zao kama kawaida huku Rwanda ikisisitiza USD iwe ndio hela ya jumuiya na kila mmoja abaki na sarafu yake. majadiliano yatakayodumu kwa siku sita mfululizo yanalenga kuikomboa Afrika Mashariki kiuchumi. Tofauti ya mikopo toka IMF kwa nchi mojamoja jinsi ya kuulipa mkopo huo kwa pamoja, ni moja kati ya masuala yaliyojadiliwa.
Sudan ya Kusini ambaye mara zote yeye huwa mgeni mwalikwa na "Mtazamaji" tu (Observer) safari hii kaambiwa asubiri kwanza hadi wao wakubaliane mambo ya msingi. Kenya imetunisha misuli baada ya Tanzania kuitunishia misuli kuhusu suala la ardhi. hivi punde nita-attach nakala ya ripoti yote na mchakato mzima jinsi ulivyokuwa.
Sudan ya Kusini ambaye mara zote yeye huwa mgeni mwalikwa na "Mtazamaji" tu (Observer) safari hii kaambiwa asubiri kwanza hadi wao wakubaliane mambo ya msingi. Kenya imetunisha misuli baada ya Tanzania kuitunishia misuli kuhusu suala la ardhi. hivi punde nita-attach nakala ya ripoti yote na mchakato mzima jinsi ulivyokuwa.