ni kweli mnyama ana huruma sana hasa kwa watoto...simba hata iweje hawezi kumla mtoto mdogo wa swala ama wa binadamu....nyoka hawezi kumgonga mtoto wa swala wala binadamu na watoto wa viumbe wengine...
...kabla hujazaliwa ulikuwa unajijua ulikokuwa unaishi?Tunajihangaisha bure, kifupi ni kwamba hakuna kiendeleacho baada ya kifo, ni utupu, hakuna maisha tena. Ni mabaki ya kuoza na kupotea na kufutika kabisa. Ni sawa na kuliwa na mnyama ukasagika kabisa usiwepo popote pale, si kiroho, si kimwili. Imani zote hizi za kuwepo aina ya maisha baada ya kifo ni kujifariji tu na ubatili mtupu.
Mkuu unafanya kazi nzito sana.mtoto wa mjini hii kitu ni kama tu ilivyo kwenye elimu kuna maelfu ya watoto wala hawajawahi kuonja Ladha ya elimu walikufa mapema kabisa wengine hawakumaliza elimu zao za msingi wengine secondary basi na kwenye sanaa ya kifo ni vivyo hivyo
Hao wa miaka 90 na ushee ndio wale ma PhD
Mkuu naona umepigwa banned kulikoni???Tafakuri yenye maswali mengi sana
Post sent using JamiiForums mobile app
Hataweza kukujibu hili swali...kabla hujazaliwa ulikuwa unajijua ulikokuwa unaishi?
Post sent using JamiiForums mobile app
Kifo kimejengwa kwenye mtazamo wa kutisha sana na si kila mmoja anatambua kwamba kifo si lolote bali ni kama kubadili usafiri ama kufaulu mtihaniHakuna haja ya kuwa na uoga kuhusu kifo.
Ni mojawapo kati ya matukio mengi katika 'safari' hii inayoitwa maisha ambayo hatuna maamuzi binafsi kama vile kuzaliwa lini, wapi na wazazi gani....chombo cha kusafiria-ugumu/wepesi wa safari...kwa miguu, baiskeli, motokari, boti, meli, ndege....mwisho wa safari...lini, wapi na aina yake n.k
La msingi hapa ni kujua kuwa muda wako utakapofika utakuwa sehemu muafaka na kisababishi sahihi kitakuwepo kukamilisha tukio hili muhimu katika safari yetu...tubakize 'pumzi' kidogo za kuanzia 'safari' nyingine iwapo itakuwepo....
Hakuna haja ya kuwa na uoga kuhusu kifo.
Ni mojawapo kati ya matukio mengi katika 'safari' hii inayoitwa maisha ambayo hatuna maamuzi binafsi kama vile kuzaliwa lini, wapi na wazazi gani....chombo cha kusafiria-ugumu/wepesi wa safari...kwa miguu, baiskeli, motokari, boti, meli, ndege....mwisho wa safari...lini, wapi na aina yake n.k
La msingi hapa ni kujua kuwa muda wako utakapofika utakuwa sehemu muafaka na kisababishi sahihi kitakuwepo kukamilisha tukio hili muhimu katika safari yetu...tubakize 'pumzi' kidogo za kuanzia 'safari' nyingine iwapo itakuwepo....
Kiongozi.Maserati HARUFU naona mko on line hebu jongeeni huku tupige story kidogo View attachment 577678
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikualika mapema sanaKiongozi.
Jana, hii sikuiona.
Kweli nimekosa mambo moto moto
Kiongozi Pamoja.
Na Majeneza yao ulishawahi kuyaona?Ghana mtu akifa huwa kuna kiwa na bonge la Party na hazikwi siku hiyo hiyo anaweza kuhifadhiwa mpaka mwaka mzima very fun.
666
😀."Death is the only adventure I have left."
Nachokoza mada ya kudedi dedi mshana jr
Sent using Jamii Forums mobile app