Samweli Chamulomo augua Bungeni ghafla na kufariki

Samweli Chamulomo augua Bungeni ghafla na kufariki

Very Sad indeed, huyu ni mtangazaji wa pili, wa TBC kupoteza maisha akiwa studio, on the microphone, ndani ya kipindi cha miaka 2!.

Wa kwanza ni Halima Mchuka!.

Wote walikuwa studio, kazini, wakitangaza live, ghafla walikosa pumzi, wakakosa nguvu, na kuanguka studio end of the story!.

Very Sad in deed!.

RIP Sam Chamlomo!.

Pasco
 
Very Sad indeed, huyu ni mtangazaji wa pili, wa TBC kupoteza maisha akiwa studio, on the microphone, ndani ya kipindi cha miaka 2!.

Wa kwanza ni Halima Mchuka!.

Wote walikuwa studio, kazini, wakitangaza live, ghafla walikosa pumzi, wakakosa nguvu, na kuanguka studio end of the story!.

Very Sad in deed!.

RIP Sam Chamlomo!.

Pasco



SHEKH yahya jr. alibashiri haya... mwaka wa uchaguzi huu
 
Kwa mujibu wa mh. Spika Anna Makinda, Marehemu Chamulomo aliugua ghafla wakati akiwa kazini bungeni jana jioni na alikimbizwa zahanati ya bunge ambapo saa 23:00 za usiku aliaga dunia. wabuge walisimama kwa dk 1kumkumbuka marehemu S. Chamulomo

hili bunge kafara zao zinazidi sasa!!!!
 
RIP comred, kapumzike kaka umevumilia mengi TBC hasa pale unapoona watanzania.wananyimwa haki.ya kuhabarishwa mambo ya maslahi ya taifa kupitia chombo chao cha taifa, najua haya yanamchango katika shinikizo, hatujui kwa undani sababu ya kifo chako cha hafla huenda hata ni kupinga mbinu chafu zakuzuia harakati za watanzania kutohabarishwa mambo MUHIMU hasa kipindi hiki ambacho tbc inaweza tu kuamua siku mbowe anaeleza mustakabali wa jiji la Dar es Salaam matangazo yasirushwe na watanzania wasione wala.kuskia hujuma za serikali ya ccm.
 
Namimi nilishaanza kudhani hivyo nikawa nawaza labda yule mama kamfokea, maana ..................

Hahahah...huwa wanamuita Bibi nani vileeee?

Usije ukajibu maana utashushiwa BAN...:confused2:
 
​Uwezekano mkubwa ni heart attack, RIP

Kwa mujibu wa mh. Spika Anna Makinda, Marehemu Chamulomo aliugua ghafla wakati akiwa kazini bungeni jana jioni na alikimbizwa zahanati ya bunge ambapo saa 23:00 za usiku aliaga dunia. wabuge walisimama kwa dk 1kumkumbuka marehemu S. Chamulomo
 
Kifo eneo la kazi,inasikitisha!Poleni sana wafiwa.RIP samwel
 
Back
Top Bottom