Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,221
- 128,982
Very Sad indeed, huyu ni mtangazaji wa pili, wa TBC kupoteza maisha akiwa studio, on the microphone, ndani ya kipindi cha miaka 2!.
Wa kwanza ni Halima Mchuka!.
Wote walikuwa studio, kazini, wakitangaza live, ghafla walikosa pumzi, wakakosa nguvu, na kuanguka studio end of the story!.
Very Sad in deed!.
RIP Sam Chamlomo!.
Pasco
Wa kwanza ni Halima Mchuka!.
Wote walikuwa studio, kazini, wakitangaza live, ghafla walikosa pumzi, wakakosa nguvu, na kuanguka studio end of the story!.
Very Sad in deed!.
RIP Sam Chamlomo!.
Pasco